Hawa ndio tanesco na karne ya 21

Hawa ndio tanesco na karne ya 21

MTENDAHAKI2

Member
Joined
May 23, 2013
Posts
37
Reaction score
4
Ni siku ya tatu tokea wakaazi wa misufini kata ya MAFIGA wilayani Morogoro kuona nishati ya umeme,hivi ingekua KWAMABOSI wangefanya hivi tena basi hata taarifa hakuna nanukuu maneno ya MPOTO "Kukumbatia maji kama jiwe ni UJINGA" TAFAKARI KISHA CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom