Dah kumbe watanzania wengi hawajasoma na hata wenye shahada vichwa vyao vimejaa maji.. kaeni na ujinga wenu wa kutopenda kufatilia mambo.. Hivi unajua chanzo cha IS? Unajua nini America imefanya baada ya kukataliwa kuingia Syria na Its allies Russia?
Unajua Foreign Policy ya America ya Intervention and Construction maana yake nini?
Unajua kama hao IS ni agenda ya America kutaka kuipiga Syria?
Friends someni na muwe mnafatilia siasa za Amerika, msikurupe na kuanza kuusema uislamu., Akili visoda.:A S-baby: