TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,378
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi toleo la trh 19.2.2021 kampuni ya JUMIA inaonekana ilifungwa rasmi kutoa huduma nchini.
Ila week iliyopita niliwaona wapo active mtandaoni ikabidi niingie niangalie wana nini?
Nikakutama na bidhaa kadhaa, nikaona inafaa, nilipo order wakanipa maelekezo ya fomu nikajaza, mwisho wanadai nilipe 1/4 kwa ajili ya usafirishaji na iliyobaki nitalipa mzigo ukifka.
Nikashtuka, nikasema na serikali ya kichwa changu "oyaa unaenda kupigwa mtama"
Laaulah lakwata, nikawakumbuka wadau ili mnijuze.
JUMIA ipo au awa ni waizi wanatumia dead company kuibiwa watu
Ila week iliyopita niliwaona wapo active mtandaoni ikabidi niingie niangalie wana nini?
Nikakutama na bidhaa kadhaa, nikaona inafaa, nilipo order wakanipa maelekezo ya fomu nikajaza, mwisho wanadai nilipe 1/4 kwa ajili ya usafirishaji na iliyobaki nitalipa mzigo ukifka.
Nikashtuka, nikasema na serikali ya kichwa changu "oyaa unaenda kupigwa mtama"
Laaulah lakwata, nikawakumbuka wadau ili mnijuze.
JUMIA ipo au awa ni waizi wanatumia dead company kuibiwa watu