Hawa HESLB jamani, daaah!

jon billz jr

Member
Sep 20, 2012
8
1
eti jmn ningependa kuuliza kwa wale ambao majina yao hayapo bodi ya mikopo inamaanisha hata hela ya chakula na stationary hawapati au?...
 
dah xaxa wanafunzi 4000 kwel wanatuchinjia baharin wanategemea tuishi vip xaxa dah hii tanzania
 
Back
Top Bottom