Hata michango yao mkuu ni miongoni mwa vitu vinavyopatikana kwa tochi katika kipindi hiki humu Jf..Hii thread ina majina mengi nimeyamiss..
Mwingine anaandika be first to replyHata michango yao mkuu ni miongoni mwa vitu vinavyopatikana kwa tochi katika kipindi hiki humu Jf..
Ukianzisha mada kama hii leo hii utachoka.. Mara atakuja wa kusimulia jinsi alivyolala na housemaid wa shemeji yake, mwingine atasema napita tu.. Kazi kweli kweli!
binti wa kazi ni tishio la ndoa kuliko kitu kingine chochote. ni sawa na wewe mkata majani aliye karibu sana na familia hasa ninyi vizee huwa mnawaonea kawivu fulani. binti wa kazi huwa anakuja amechokaaa, akilishwa vizuri ananawiriii na anakuwa mbichi. sasa mama hapo kishajizalia vitoto kama viwili hivi, hajiamini tena, anaamini kitumbua labda kimeharibiwa na kuzaa na cha housegirl bado kibichi hakijatanuliwa. kati ya vitu ambavyo wanawake huwa na infiriority complex namba moja ni baada ya kuzaa anaamini maungo yake yamebadilika hivyo mume hataenjoy kuliko zamani, na akiona mtu karibu na mume ambaye anaweza kuwa na maumbile mapya anaona wivu anaogopa kuibiwa. huu ndio ukweli mchungu....hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
hii kesi ya Manzese imeishia wapi?Ni uwendawazimu wa kinamama na huku wakisahau kuwa uhai wa jamii (familia) yao umebebwa na huyo Hg na akiwa na roho mbaya au mazingira (ya kunyanyaswa) yanaweza kumfanya akafanya kitu mbaya sana. Je bado mnakumbuka mauaji ya mtoto mdogo pale Manzese? kisa ni deni la mshahara wa miezi sita (shilingi tisini elfu).
Naomba mkubaliane nami kuwa wanawake wana upole wa nyoka kifutu.