Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Yaambie hayo makampuni yaje yawekeze Tanzania manake hawa marafiki wa hiari ni majanga bora wa kukodi hata akikugeuka utajua ni sawa tu
huku bongo kuna kikundi cha kukodi kulia harusini,kuwaachanisha wapenzi na mkodombwe
sad life indeed...............
Me nataka la wapenzi feki kw hapa tz linaweza likaeepo kwel?
how??............
kuanzisha kampuni katika Kutoa huduma ya marafiki, wakuajiri kibao mjini hapa...
utaweza kuigiza urafiki wa kulipwa? mimi marafiki wangu wa ukweli tu wanapata shida kunielewa..