Hatuwasiliani ila nataka ajue simchukii

Hatuwasiliani ila nataka ajue simchukii

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,741
Reaction score
3,315
Habari wakuu

Kuna binti tulikua kwenye mahusiano kama mwaka mzima ila niliamua kuyavunja baada ya kutoridhishwa na mambo flani yaliyotokea mbeleni.

Sasa baada ya kuachana kuna line nyingine ya halotel nlimsajilia kwa Nida yangu maana yeye hana kitambulisho kwa sasa, nikaona ni vema nikaifunge kwa sababu za kiusalama maana binti hayuko tena kwenye imaya yangu ingawa alikuja kuniuliza juzi kati hapa kwanini niliamua kuifunga nikakataa kwamba sijafunga labda itakua imearibika tu ila ni kama hakuridhika na lile jibu, hiyo ilikua tar30/4 na hatujawasiliana tena hadi leo.

Sasa tar 2/6 kwa kumbukumbu zangu ni siku ya kuzaliwa kwake(Kumbukizi)
Je nifanye nini ili ajue sina kinyongo nae?

Kumtumia sms tu, kukausha mazima au nifanye nini maana sina historia ya kuwekeana vinyongo na ma ex wangu wote.

Ila huyu anajua namchukia kwa yale nlogundua na kufungia line2 nlomsajilia.

Nakaribisha mawazo.
 
Habari wakuu

Kuna binti tulikua kwenye mahusiano kama mwaka mzima ila niliamua kuyavunja baada ya kutoridhishwa na mambo flani yaliyotokea mbeleni.

Sasa baada ya kuachana kuna line nyingine ya halotel nlimsajilia kwa Nida yangu maana yeye hana kitambulisho kwa sasa, nikaona ni vema nikaifunge ....
Mkuu we sema tu unampenda bado wala hakuna tatio nasisi tutakuona tu jembe usiwaze sanaaa
 
fanya ivi fanya juu chini mrudiane, then mfanye sex toy uku ukimpa ratiba za kuwa siku moja utamuoa, nenda nae ivyo ivyo mpaka siku ukipata mke wa ndoto zako uyu unapiga chini mazima, kwanza utakuwa umempotezea muda wake na hapo akili itamkaa vizuri mbwa uyo (siwapendi wanawake)
 
fanya ivi fanya juu chini mrudiane, then mfanye sex toy uku ukimpa ratiba za kuwa siku moja utamuoa, nenda nae ivyo ivyo mpaka siku ukipata mke wa ndoto zako uyu unapiga chini mazima, kwanza utakuwa umempotezea muda wake na hapo akili itamkaa vizuri mbwa uyo (siwapendi wanawake)
Dah! nini kilipelekea uwachukie kaka
 
fanya ivi fanya juu chini mrudiane, then mfanye sex toy uku ukimpa ratiba za kuwa siku moja utamuoa, nenda nae ivyo ivyo mpaka siku ukipata mke wa ndoto zako uyu unapiga chini mazima, kwanza utakuwa umempotezea muda wake na hapo akili itamkaa vizuri mbwa uyo (siwapendi wanawake)
Daaaah hahaha mkuu umenivunja mbavu aisee

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu

Kuna binti tulikua kwenye mahusiano kama mwaka mzima ila niliamua kuyavunja baada ya kutoridhishwa na mambo flani yaliyotokea mbeleni.

Sasa baada ya kuachana kuna line nyingine ya halotel nlimsajilia kwa Nida yangu maana yeye hana kitambulisho kwa sasa, nikaona ni vema nikaifunge kwa sababu za kiusalama maana binti hayuko tena kwenye imaya yangu ingawa alikuja kuniuliza juzi kati hapa kwanini niliamua kuifunga nikakataa kwamba sijafunga labda itakua imearibika tu ila ni kama hakuridhika na lile jibu, hiyo ilikua tar30/4 na hatujawasiliana tena hadi leo.

Sasa tar 2/6 kwa kumbukumbu zangu ni siku ya kuzaliwa kwake(Kumbukizi)
Je nifanye nini ili ajue sina kinyongo nae?

Kumtumia sms tu, kukausha mazima au nifanye nini maana sina historia ya kuwekeana vinyongo na ma ex wangu wote.

Ila huyu anajua namchukia kwa yale nlogundua na kufungia line2 nlomsajilia.

Nakaribisha mawazo.
Huyo mpenzi wako amezaliwa tarehe moja na mm, naomba unisaidie niweze kupata mawasiliano yake pia nitakusaidia kumuelewesha kuwa huna kinyongo naye
 
fanya ivi fanya juu chini mrudiane, then mfanye sex toy uku ukimpa ratiba za kuwa siku moja utamuoa, nenda nae ivyo ivyo mpaka siku ukipata mke wa ndoto zako uyu unapiga chini mazima, kwanza utakuwa umempotezea muda wake na hapo akili itamkaa vizuri mbwa uyo (siwapendi wanawake)
Ahaaaahaaaa

We mbwaa una matatizo haki

Nimecheka kingese hapaa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom