TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,035
Kwako mtukufu rais wizara na taasisi husika pamoja na wadau wa Real estate naomba mjenge majengo ya kisasa ya kuishi, namaanisha magorofa (apartments) msiwaachie wananchi wajenge peke yao kwani wengi wao wanachafua mazingira hawajengi mfano ni eneo mkabala na mji wa govt, kuna nyumba zinajengwa kwa kasi na hazina viwango hvyo mji wa govt ukikamilika utakuwa mzuri huku pembeni yake kuna mji wa hovyo, igeni hata Misri ukitoka Giza kurudi city centre kupitia Citadel najua mshawahi fika mmeona mji ulivyojengwa .Nawasilisha

