Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Habari
Leo siku yangu ilikuwa bize kidogo lakini nashukuru maangaiko yameenda vizuri kiasi chake
Sasa baada ya kumaliza miangaiko yangu ndipo nilipigiwa simu na jimama mmoja hivi mumewe ni mhandisi wa umeme hapa dar
Akaza kuuliza uko wapi nikasema natoka kuzulula akasema nataka tuonane hapa juliana sasaivi nimekumic sana sijakuona then napenda unavyo ongea nataman niwe na wewe mda wote nikasema poa nakuja
Saa kumi nikafika pale juliana ee bhna wewe kufika pale akaja muhudumu kaka unatumia kinywaji gani nikasema maji tu new drop yulee shuga akaagiza kilimanjaro
Muhudumu akasema naomba hela nikawa na mtazama alie niita pale alipe mimi mfukoni nina buku 5 tu akasema lipa wakati yeye kaagiza kilimanjaro nne nikamwambia muhudumu lete vinywaji naingia ATM hapo kutoa pesa
Mpaka sasaivi sijaludi tena pale juliana na nishafika home hila nimemtumia sms mimi sio rich nina watoto wa dada zangu wananitegemea
Wajuba au nimezingua?
Leo siku yangu ilikuwa bize kidogo lakini nashukuru maangaiko yameenda vizuri kiasi chake
Sasa baada ya kumaliza miangaiko yangu ndipo nilipigiwa simu na jimama mmoja hivi mumewe ni mhandisi wa umeme hapa dar
Akaza kuuliza uko wapi nikasema natoka kuzulula akasema nataka tuonane hapa juliana sasaivi nimekumic sana sijakuona then napenda unavyo ongea nataman niwe na wewe mda wote nikasema poa nakuja
Saa kumi nikafika pale juliana ee bhna wewe kufika pale akaja muhudumu kaka unatumia kinywaji gani nikasema maji tu new drop yulee shuga akaagiza kilimanjaro
Muhudumu akasema naomba hela nikawa na mtazama alie niita pale alipe mimi mfukoni nina buku 5 tu akasema lipa wakati yeye kaagiza kilimanjaro nne nikamwambia muhudumu lete vinywaji naingia ATM hapo kutoa pesa
Mpaka sasaivi sijaludi tena pale juliana na nishafika home hila nimemtumia sms mimi sio rich nina watoto wa dada zangu wananitegemea
Wajuba au nimezingua?