Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,551
Mungu alikuwa sahihi kumuumba mwanaume, na alikuwa sahihi pia kumuumba mwanamke. Alijua na ndo maana hata kimaumbile hawako sawa, hata kwa uwiano wa viungo vyao haviko sawa pia.
Lakini Mungu alienda mbali na akatofautisha hata upatikanaji wao, kuzaliwa hadi kukua hawako sawa kabisa kulingana na somo la biolojia. Mtoto wa kiume si mtoto wa kimchezo hadi ukamkuze unahitaji kujipanga, na ndo maana labda hata mahospitalini hawazaliwi sana na hata wakizaliwa vitoto vingi vya kiume vinaibiwa sana kulinganisha na wa kike.
Lakini Mungu alijua hata kwenye majukumu hawa watu hawako sawa, ni hasiri ya mwanamke kujipodoa na kutaka kuvutia. Si sehemu ya maisha ya mwanamke kupitia shuruba ila kutokana na maisha "wachache" wao hulazimika kujikakamua. Shuruba (kazi) saizi yake ni mwanaume na hilo linadhihirika hata misuli yao ilivyokaa, tizama mikono yao uone tofauti zao ...kwanini?
Sasa ajabu zaidi, eti tunaaminishwa tuko sawa. Haya ni maajabu ya ulimwengu huu uliofitinika, kibaya zaidi hata iweje, kilichoumbwa kitabakia vile vile hadi kurudi kwa Yesu. Kuna kitu kiliniacha hoi katika hili, kumbe hata wanyama nao wanalifahamu hili ijapo sie na madegree yetu hatuonekani kusadiki
Kuanzia Jogoo, Ngedere, Nyani, Beberu, Kondoo n.k vyote hivi vinamfahamu mtu jinsia ya kike na vinamdharau sana. Sielewi ni kwanini lakini ni viumbe ambao vikiamua, mwanamke hata aweje hawezi kuvitisha na havimwogopi. Vinamchukulia inferior sana tofauti na mwanaume hata kama ni katoto kadogo vinakatii. Sasa akina mama hawa wanaoonekana weak hata kwa viumbe wa hivi, mwanaume unakuwaje wewe unazidiwa uelewa na hawa wadudu? ni sawa na kusema hawa wadudu wana ufahamu mkubwa kuliko sie wanadamu
Kwa navyofikiri, endapo hawa wanyama wangelikuwa na uwezo wa kuongea basi wanaume tungekuwa na hari ngumu sana. Uenda wangediriki hata kutuchapa bakora hadi tujitambue kama wao wanavyotukubali. Kwamba mwanadamu wa kiume ni dhaifu na ana uelewa mdogo sana kuliko wanyama wengine wa kiume katika kujitambua na kuheshimu uumbaji wa aliyewaumba.
Lakini Mungu alienda mbali na akatofautisha hata upatikanaji wao, kuzaliwa hadi kukua hawako sawa kabisa kulingana na somo la biolojia. Mtoto wa kiume si mtoto wa kimchezo hadi ukamkuze unahitaji kujipanga, na ndo maana labda hata mahospitalini hawazaliwi sana na hata wakizaliwa vitoto vingi vya kiume vinaibiwa sana kulinganisha na wa kike.
Lakini Mungu alijua hata kwenye majukumu hawa watu hawako sawa, ni hasiri ya mwanamke kujipodoa na kutaka kuvutia. Si sehemu ya maisha ya mwanamke kupitia shuruba ila kutokana na maisha "wachache" wao hulazimika kujikakamua. Shuruba (kazi) saizi yake ni mwanaume na hilo linadhihirika hata misuli yao ilivyokaa, tizama mikono yao uone tofauti zao ...kwanini?
Sasa ajabu zaidi, eti tunaaminishwa tuko sawa. Haya ni maajabu ya ulimwengu huu uliofitinika, kibaya zaidi hata iweje, kilichoumbwa kitabakia vile vile hadi kurudi kwa Yesu. Kuna kitu kiliniacha hoi katika hili, kumbe hata wanyama nao wanalifahamu hili ijapo sie na madegree yetu hatuonekani kusadiki
Kuanzia Jogoo, Ngedere, Nyani, Beberu, Kondoo n.k vyote hivi vinamfahamu mtu jinsia ya kike na vinamdharau sana. Sielewi ni kwanini lakini ni viumbe ambao vikiamua, mwanamke hata aweje hawezi kuvitisha na havimwogopi. Vinamchukulia inferior sana tofauti na mwanaume hata kama ni katoto kadogo vinakatii. Sasa akina mama hawa wanaoonekana weak hata kwa viumbe wa hivi, mwanaume unakuwaje wewe unazidiwa uelewa na hawa wadudu? ni sawa na kusema hawa wadudu wana ufahamu mkubwa kuliko sie wanadamu
Kwa navyofikiri, endapo hawa wanyama wangelikuwa na uwezo wa kuongea basi wanaume tungekuwa na hari ngumu sana. Uenda wangediriki hata kutuchapa bakora hadi tujitambue kama wao wanavyotukubali. Kwamba mwanadamu wa kiume ni dhaifu na ana uelewa mdogo sana kuliko wanyama wengine wa kiume katika kujitambua na kuheshimu uumbaji wa aliyewaumba.