Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,487
- 913
Narudia Tena kusema hatuja wahi kuwa na Muungano..
Kuna watu akili zao hazitaki kufikiri, wamekuwa mizigo na sidhani kama Taifa hili kwa sasa tunahitaji sampuli za watu kama hawa ambao bado wanatulazimisha tushikilie mawazo yetu na yao kwamba Tumewahi kuwa na Muungano ati wa nchi iliyoitwa Tanganyika ikaungana na nchi nyingine inayoitwa Zanzibar ati Tukapata nchi Moja Tanzania. Ni kauli za Kizandiki, Uongo uliokithiri na Uchafuzi wa jamii ya Watanzania inayoanza kustarabika.
Hesabu rahisi kabisa inaweza kutumika kutupa Ukweli huu
Tuseme Zanzibar ni Nchi yenye Mamlaka na Dola lake in all aspects let it be set A
Then Tanganyika nayo pia ina mamlaka yake ya kiinchi kama dola linalo jitegemea be set B
seti hizi mbili A and B zinaungana, which mean wote wawili wanaungana kuwa SETI MOJA..
.........
OPERATION ya Union Set inakuwa true pale ambapo si rahisi tena Mtu kuchambua element zilizokuwa kwenye set A na zile zilizokuwa kwenye set B.
Kama Tanganyika Iliungana na Zanzibar hiyo miaka ya hamsini-kweusi, iweje basi ati awepo raisi wa huku na kule, serikali ya huku na Kule, bunge la huku na kule huu si Muungano, ni kudhalilisha Hisabati pamoja na Watanzania kwa Ujumla wetu.
ndio maana kila unapogusia topic ya Muungano Vichwa vya watu vinauma kwa sababu ni kitu kisicho eleweka bayana..
naomba serikali hii 'sikivu' itupatie jina halisi ya hiki tulicho nacho to me ni mjumuiko wa nchi na si Muungano. kuna vitu tunajumuika pamoja mengine kivyake vyake . now if that is tufute neno Muungano kwanza tutafute neno linalo stahili.
kisha ndipo tufanye mjadala wa kitaifa je mjumuiko huu una mantiki?, kwanini tusiwe na Muungano tu, yaani nchi moja tu TANZANIA pasipo vikolombwezo vingine na mikoa sita ya Zanzibar ikawa kwenye idadi ya mikoa mingine Tanganyika ili baadae tusibaguane tena.
ama vipi basi tukubaliane kutokukubaliana, kila mtu awe kivyake ingawa ni mawazo ya kurudi nyuma hayo, ulimwengu mzima watu wanaungana wanaowaza kujitenga sijui tuwaweke fungu gani..
kwa sasa tunajadili Katiba , ila hata hatujui ni katiba ya nini.. imagine kama serikali tatu, so rais wa Tanganyika atoke chama A, wa Zanzibar Chama B, wa muungano Chama C. du total confussion, halafu nasikia Yule wa Muungano ndiye awe Amiri Jeshi mkuu.. hii kitu ya Ajabu kabisa..
Kuna watu akili zao hazitaki kufikiri, wamekuwa mizigo na sidhani kama Taifa hili kwa sasa tunahitaji sampuli za watu kama hawa ambao bado wanatulazimisha tushikilie mawazo yetu na yao kwamba Tumewahi kuwa na Muungano ati wa nchi iliyoitwa Tanganyika ikaungana na nchi nyingine inayoitwa Zanzibar ati Tukapata nchi Moja Tanzania. Ni kauli za Kizandiki, Uongo uliokithiri na Uchafuzi wa jamii ya Watanzania inayoanza kustarabika.
Hesabu rahisi kabisa inaweza kutumika kutupa Ukweli huu
Tuseme Zanzibar ni Nchi yenye Mamlaka na Dola lake in all aspects let it be set A
Then Tanganyika nayo pia ina mamlaka yake ya kiinchi kama dola linalo jitegemea be set B
seti hizi mbili A and B zinaungana, which mean wote wawili wanaungana kuwa SETI MOJA..
.........
OPERATION ya Union Set inakuwa true pale ambapo si rahisi tena Mtu kuchambua element zilizokuwa kwenye set A na zile zilizokuwa kwenye set B.
Kama Tanganyika Iliungana na Zanzibar hiyo miaka ya hamsini-kweusi, iweje basi ati awepo raisi wa huku na kule, serikali ya huku na Kule, bunge la huku na kule huu si Muungano, ni kudhalilisha Hisabati pamoja na Watanzania kwa Ujumla wetu.
ndio maana kila unapogusia topic ya Muungano Vichwa vya watu vinauma kwa sababu ni kitu kisicho eleweka bayana..
naomba serikali hii 'sikivu' itupatie jina halisi ya hiki tulicho nacho to me ni mjumuiko wa nchi na si Muungano. kuna vitu tunajumuika pamoja mengine kivyake vyake . now if that is tufute neno Muungano kwanza tutafute neno linalo stahili.
kisha ndipo tufanye mjadala wa kitaifa je mjumuiko huu una mantiki?, kwanini tusiwe na Muungano tu, yaani nchi moja tu TANZANIA pasipo vikolombwezo vingine na mikoa sita ya Zanzibar ikawa kwenye idadi ya mikoa mingine Tanganyika ili baadae tusibaguane tena.
ama vipi basi tukubaliane kutokukubaliana, kila mtu awe kivyake ingawa ni mawazo ya kurudi nyuma hayo, ulimwengu mzima watu wanaungana wanaowaza kujitenga sijui tuwaweke fungu gani..
kwa sasa tunajadili Katiba , ila hata hatujui ni katiba ya nini.. imagine kama serikali tatu, so rais wa Tanganyika atoke chama A, wa Zanzibar Chama B, wa muungano Chama C. du total confussion, halafu nasikia Yule wa Muungano ndiye awe Amiri Jeshi mkuu.. hii kitu ya Ajabu kabisa..