Licha ya kuonyesha kuwa mnawahitaji wanaume lakini bado mm sijaridhika naona wengi wenu mmepelekea kule kwenye maswala ya bedroom. Hivi ni kweli mwanamke akikaa muda mrefu bila kupata mwanaume anakuwa na tabia za tofauti tofauti?
Licha ya kuonyesha kuwa mnawahitaji wanaume lakini bado mm sijaridhika naona wengi wenu mmepelekea kule kwenye maswala ya bedroom. Hivi ni kweli mwanamke akikaa muda mrefu bila kupata mwanaume anakuwa na tabia za tofauti tofauti?
Licha ya kuonyesha kuwa mnawahitaji wanaume lakini bado mm sijaridhika naona wengi wenu mmepelekea kule kwenye maswala ya bedroom. Hivi ni kweli mwanamke akikaa muda mrefu bila kupata mwanaume anakuwa na tabia za tofauti tofauti?
lakini wewe Fidel80 mnajua wanaume pia zamani mlikuwa mnatunyanyasa sana wanawake mnatutwanga mangumi,masimango,kila aina ya unyanyasaji mkijua hatuna pa kujinasua na pa-kuanzia
sasa wamama wengi wanawaza ujasiriamali na aina nyingine za kujiingizia kipato
kwa hiyo hizi habari za kutishiana nyau ndani ya nyumba kiasi zinapungua sasa
Licha ya kuonyesha kuwa mnawahitaji wanaume lakini bado mm sijaridhika naona wengi wenu mmepelekea kule kwenye maswala ya bedroom. Hivi ni kweli mwanamke akikaa muda mrefu bila kupata mwanaume anakuwa na tabia za tofauti tofauti?
Yeah sasa unakuja kwenye point naona sasa imefikia sehemu mnaona wanaume hawahitajiki ili kukwepa hayo masimango, manyanyaso, vipigo visivyo rasmi. Nimeshuhudia hivi karibuni ndoa 20 zimevunjika mwanamke aidha kahama nyumba au mwanaume kahama nyumba na kwenda kuishi na kukaa kivyake.
hapa uingereza maduka ya sex toy yako busy kuliko ATM za NMB mwisho wa mwezi labda ndio self sufficient forum, teh teh teh teh,labda nitie mguu niangalie proportion ya wateja kama wengi ni she au ni he! hatari kwei kwei!
Kuna shule moja ya wasichana iliwahi kuwatokea haka kaugonjwa, tiba yake iliandaliwa disko na shule ya wavulana wakapelekwa huko. walivyorudi hawakuwa na hako ka ugonjwa!