Elisha Chuma
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 275
- 262
Watu tumezoea kudanganyana na kutokuelezana ukweli kuhusiana na biashara. Tumekuwa watu wa kupeana moyo na kushauriana kila mtu afanye iashara lakini biashara au ujasiriamali sio kitu rahisi kiasi hicho ambacho kinaweza kufanywa na kila mtu.
Hivyo usijitumbukize tu katika bishara kwa kufuata mkumbo aidha umeambiwa biashara fulani unaiweza, biashara fulani inalipa au wewe unaweza kufanya biashara fulani na ikakulipa, kila kitu kina ugumu wake na changamoto zake, changamoto za muuza maandazi ni tofauti na changamoto za muuza duka, hata ujuzi wa msusi ni tofauti na wa kinyozi japo wote wapo saluni, hivyo unapoamua kufanya biashara fulani usikurupuke fikiria na tathmini kwanza kwa undani kama inaendana na wewe.
Zifuatazo ni baadhi ya njia au mbinu muongozo za kufuata unapotaka kuanza biashara yako.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Nitaviandika hapa kwa kuvitaja.⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
1. Wazo bora la biashara⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
2. Utafiti wa kwanza (bajeti, muda, nguvukazi, vifaa, faida, washindani na eneo)⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
3. Mpango biashara⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
4. Utafiti wa pili ⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀ ⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Ukiona una nafasi katika biashara hiyo basi fanya na anza mara moja kwa kufuata muongozo wako ulioutengeneza hapo awali, kama unaona nguvu yako ni ndogo kulingana na soko na ulivyojipanga, badilisha mpango uendane na soko pamoja na uwezo wako.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Nukuu: Uwezo na nguvu ni akili, fedha ni mwezeshaji tu.
Kuna tofauti kubwa kati ya wazo na kitu halisi jitahidi kusimamia na kufanya ulichokiwaza mwanzo⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Elisha Chuma
Hivyo usijitumbukize tu katika bishara kwa kufuata mkumbo aidha umeambiwa biashara fulani unaiweza, biashara fulani inalipa au wewe unaweza kufanya biashara fulani na ikakulipa, kila kitu kina ugumu wake na changamoto zake, changamoto za muuza maandazi ni tofauti na changamoto za muuza duka, hata ujuzi wa msusi ni tofauti na wa kinyozi japo wote wapo saluni, hivyo unapoamua kufanya biashara fulani usikurupuke fikiria na tathmini kwanza kwa undani kama inaendana na wewe.
Zifuatazo ni baadhi ya njia au mbinu muongozo za kufuata unapotaka kuanza biashara yako.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Nitaviandika hapa kwa kuvitaja.⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
1. Wazo bora la biashara⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
2. Utafiti wa kwanza (bajeti, muda, nguvukazi, vifaa, faida, washindani na eneo)⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
3. Mpango biashara⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
4. Utafiti wa pili ⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀ ⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Ukiona una nafasi katika biashara hiyo basi fanya na anza mara moja kwa kufuata muongozo wako ulioutengeneza hapo awali, kama unaona nguvu yako ni ndogo kulingana na soko na ulivyojipanga, badilisha mpango uendane na soko pamoja na uwezo wako.⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Nukuu: Uwezo na nguvu ni akili, fedha ni mwezeshaji tu.
Kuna tofauti kubwa kati ya wazo na kitu halisi jitahidi kusimamia na kufanya ulichokiwaza mwanzo⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀⠀
Elisha Chuma