Vivan cappatinho
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 284
- 238
Nimejaribu kila mara kutafuta kazi lakini nimekosa na elimu yangu ni ndogo sana darasa la saba nisiekuwa na ujuzi wowote, umri umekwenda 24 kamwili kadogo nadharaulika.
Hivyo naamua kuuza simu yangu pendwa kabisa nilioipata kama zawadi nipate mtaji nianze kulangua dagaa au samaki kwenye kokolo alafu niuze reja reja.
Ni aina ya infinix zero 4 ina 4g ina ram 3gb ina internal 32gb pia inakaa na charg haina tatizo lolote haijawai kufunguliwa wala kwenda kwa fundi, ila kamera yake ni ya kawaida sana.
Dukani ni laki6 (600,000) mpya ila mimi naiuza 230,000 tunaweza zungumza pia.
Kama kuna mwingine ana wazo bora la biashara kwa mtaji huo anisaidie huku nikiwa nasubiri mteja
Hivyo naamua kuuza simu yangu pendwa kabisa nilioipata kama zawadi nipate mtaji nianze kulangua dagaa au samaki kwenye kokolo alafu niuze reja reja.
Ni aina ya infinix zero 4 ina 4g ina ram 3gb ina internal 32gb pia inakaa na charg haina tatizo lolote haijawai kufunguliwa wala kwenda kwa fundi, ila kamera yake ni ya kawaida sana.
Dukani ni laki6 (600,000) mpya ila mimi naiuza 230,000 tunaweza zungumza pia.
Kama kuna mwingine ana wazo bora la biashara kwa mtaji huo anisaidie huku nikiwa nasubiri mteja


yaweza kuwa pia ni nyeti amerudi kivingine