Salaam.
Mods, hili ni swali tu kwa Mhe Mbowe, mkitaka lifuteni hamna shida.
Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni nini uelekeo mpya? Mtaendelea na operation mnayojua haiwezi kuwa?
Mwisho, ita press tupe mwongozo. Ukikaa kimya kamanda unatuangusha sana.
Pangu Pakavu,
Bunda.
Sent from my SM-M315F using
JamiiForums mobile app