Wasema Magufuli safi ataibuka kidedea.
Wadai tatizo Mfumo.
Wasema....Rushwa,Ufisadi,Demok
rasia,Ukandamizaji,Ubabe si Tatizo.
What's the so called mfumo?
Tatizo la ukawa rais atakuwa mchafu na serikali yake itakuwa chafu kwa sababu aliyowabeba nyuma yake ni makapi ya ccm (wachafu). Kwani kitendo cha lowassa kuwatafutia majimbo makapi wenzake ni ukweli kuwa ndilo tarajio la serikali yake. Magufuli ni msafi na walionyuma yao ni wasafi.
badara ya kujiandaa kesho uende shule unaandika upuuzi humu duh ndiyo matatizo ya BRN haya
Tatizo la ukawa rais atakuwa mchafu na serikali yake itakuwa chafu kwa sababu aliyowabeba nyuma yake ni makapi ya ccm (wachafu). Kwani kitendo cha lowassa kuwatafutia majimbo makapi wenzake ni ukweli kuwa ndilo tarajio la serikali yake. Magufuli ni msafi na walionyuma yao ni wasafi.
Wasema Magufuli safi ataibuka kidedea.
Wadai tatizo Mfumo.
Wasema....Rushwa,Ufisadi,Demok
rasia,Ukandamizaji,Ubabe si Tatizo.
What's the so called mfumo?