Hatimaye Simba SC waibeba Yanga CAF

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Oct 28, 2016
3,175
8,187
IMG_7848.JPG
 
Wakajibebe sasa. Wasiishie kujiita wa kimataifa huku wakishindwa kufikia hatua ya makundi.
 
cha ajabu sasa hivi wako bize kumkoleza mafuta yule mzee kalomoni avuruge kambi.
 
Ujinga ni kuwaza kuwa simba ishaingia group stage na hakuna timu inaweza kufanya hivyo.
Ndio maana hiyo timu mashabiki wanaitwa mbumbumbu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom