Hatimaye Professa Mlacha wa UDOM kumaliza muda wake

kilaza mjanja

JF-Expert Member
Jun 2, 2016
654
1,143
Katika hali ya kushangaza na kusisimua leo hii nimekutana na wafanyakazi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakiwa kwenye furaha na bashasha kubwa huku wakieleza furaha yaho juu ya hali inayoendelea Chuo Kikuu Dodoma.

Katika mahojiano yao wameeleza kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Dodoma upande wa mipango na fedha anaelekea kustaafu na kuachia ngazi husika na amebakisha wiki moja akimaanisha mwishoni mwa mwezi huu atakuwa anakabidhi ofisi hiyo. Kiongozi huyo anae fahamika kwa jina la Prof. Mlacha amekuwa akilalamikiwa na wafanyakazi pamoja na wanafunzi wa chuo hicho kwa tabia zake za kibabe na kutukana kila alie mbele ya macho yake huku akihusanishwa na ukaribu wake na mmoja wa marais wastaafu.

"Bora aondoke kwani alikuwa Nkurunzinza wa hapa UDOM, yani watu wazima tunatukanwa mbele ya watoto na kudhalilishwa na kutishiwa kufukuzwa kazi? Kweli hii ni haki? Bora aondoke zake tu"

"Bora aondoke boya huyo kwani ameshapoteza ndoto za wanafunzi wengi kwa kuwafukuzwa chuo pasipo na sababu. UDOM imeitwa chuo cha kata kwasababu ya huyo jamaa"

Uchunguzi wa gazeti hili pia lilidokezwa na mmoja wa mkaribu wake kuwa proffesa huyo muda wote huwa anavuta sigara kwenye ofisi yake na ukiingia ofisi yake kama jiko la kuni kwani moshi uliomo humo ndani ni wa ajabu sana,, ofisi yake matusi ya nguoni, kutishwa,, kufukzuzwa kazi na vibao ni vitu vya kawaida,, "kiufupi hapa hatuna heshima yoyote zaidi ya woga tu tumemchoka sana huyu mtu" kilisema chanzo hicho

Taarifa rasmi zinasema kuwa mwishoni mwa mwezi huu kiongozi huyo atamaliza muda wake ila wandani wetu wanatuambia kuwa bado mzee huyo anataka kuendelea kushika nyadhifa hiyo.

Nimeikuta sehemu hivyo tujadili kwa hoja.
Mjumbe hauawi.
 
Amepoteza ndoto za wanafunz wengi, directly ama invisibly.

Aliwasiliana na Dr. mmoj akiwa waziri wakaamuru wanafunzi walipe ada kwa kuto sign vitabu vya heslb, mungu hakosei binadam kukosea akakataa ni jadi yake, siwezi kusoma nikatae mkopo, kusign tu?? hakika allah aliona na maskin wanasaka milion walipe hadi leo... sura ya Chuo kizima na jamii ikaamini hivyo.
Mungu wa ajabu, udom sio nyumban watu wakaondoka..

Wengi watoto wa maskin hadi leo wameshindwa kikomboa vyeti.

Wakati bodi ya mikopo inahaha kiwasaka wanafunzi walionyimwa vyeti iwadai isijue hawana ada hiyo, wachache wenye uwezo washalipa na kikwaa kazi.

Hii ni tukio la kibabe miaka ya 2008

Magufuli na kikwete wanatofauti kubwa sana, kimaadili na kiuwono na kuitekelezaji.

Prof. Mlacha sio mtu mbaya tatizo ni hurka, mamlaka, ulevi na ulafi wa maisha.

Ukijua Mungu yupo hutafanya uhayawani kama ule. Pale Makulu wanafunzi walikaa juani kurejea kufanya mitihan baada ya kufukuzwa kwa muda.

Mungu hulipa watu hapahapa duniani.
 
Amepoteza ndoto za wanafunz wengi, directly ama invisibly.

Aliwasiliana na Dr. mmoj akiwa waziri wakaamuru wanafunzi walipe ada kwa kuto sign sura ya Chuo kizima na jamii ikaamini hivyo.

Wengi watoto wa maskin hadi leo wameshindwa kikomboa vyeti.

Wakati bodi ya mikopo inahaha kiwasaka wanafunzi walionyimwa vyeti iwadai isijue hawana ada hiyo, wachache wenye uwezo washalipa na kikwaa kazi.

Hii ni tukio la kibabe miaka ya 2008

Magufuli na kikwete wanatofauti kubwa sana, kimaadili na kiuwono na kuitekelezaji.

Prof. Mlacha sio mtu mbaya tatizo ni hurka, mamlaka, ulevi na ulafi wa maisha.

Ukijua Mungu yupo hutafanya uhayawani kama ule. Pale Makulu wanafunzi walikaa juani kurejea kufanya mitihan baada ya kufukuzwa kwa muda.

Mungu hulipa watu hapahapa duniani.
kaka umeongea ukweli mtupu kwani ninavyosikia watu wanavyo msema huko sijui kama ningesoma udom kama ningemaliza kwani anaonekana ni mbabe sana
 
kaka umeongea ukweli mtupu kwani ninavyosikia watu wanavyo msema huko sijui kama ningesoma udom kama ningemaliza kwani anaonekana ni mbabe sana
kwa wingi wa wanafunz wale senate ilikuwa iwe na hekima kutoa fursa..Leo board ya mikopo inawadai wanafunzi waliolipa, inawadai na ambao hawakulipa tangu 2011, wanafunz wapo tayar kufanyakaz warejeshe...lakini ndio hivyo, vyeti huna
 
kwa wingi wa wanafunz wale senate ilikuwa iwe na hekima kutoa fursa..Leo board ya mikopo inawadai wanafunzi waliolipa, inawadai na ambao hawakulipa tangu 2011, wanafunz wapo tayar kufanyakaz warejeshe...lakini ndio hivyo, vyeti huna
inamaana vyeti vyote vilifungiwa ama walifukuzwa chuo wote?
 
hahaa...UDOM sitokaa nipasahau..bora nilipoondolewa pale informatics mwaka 2011..hicho chuo kimepoteza ndoto za wengi mno...watu wengi wanamawazo mengi mitaani kwa Vyeti venye vidonda supplimentary walivyopewa udom kwa kupigwa extreme nakuingia kwenye mitihani bila kujua ulichosoma...ohoo..mungu wasaidie waliosoma na wanaosoma udom..mimi citaki hata hizi habari
 
hahaa...UDOM sitokaa nipasahau..bora nilipoondolewa pale informatics mwaka 2011..hicho chuo kimepoteza ndoto za wengi mno...watu wengi wanamawazo mengi mitaani kwa Vyeti venye vidonda supplimentary walivyopewa udom kwa kupigwa extreme nakuingia kwenye mitihani bila kujua ulichosoma...ohoo..mungu wasaidie waliosoma na wanaosoma udom..mimi citaki hata hizi habari
hahahah hicho chuo chenu cha kishenzi sana huyo prof kila mtu anamzungumza vibaya nasikia ni mtu wa ovyo kabisa ni katili sana na maamuzi yake ni ya kibabe pasipo kushirikisha ubongo kabisa watu wengi wameharibiwa ndoto zao
 
Hawezi kuongezewa mkataba, alishateuliwa Prof Msoffe Tangu May kuwa mrithi wa kiti chake
 
utashangaa ameongezewa muda
nilisikia alitakiwa awe amesha staafu tangu mwezi wa 12 akaongezewa miezi 6,,, nasikia kajenga shule kule machame kwao kupitia ujenzi ulikuwa ukifanyika pale udom,, kifupi wameiba pesa sna pale
 
Nakumbuka nikiwa Dodoma,2011 nilienda kutembelea jamaa zangu wote walifukuzwa Mwaka Huo
 
duh samahani sana mkuu hapo kwenu udom vyeo hivyo ni vya kurithi ama vya kuteuliwa? pia tueleze kidogo juu ya ubabe wake na matusi yake,,,

Mkuu Mimi sipo UDOM nipo chuo kingine but taarifa kama hizi huwa zinatufikia kutoka kwa wenzetu wa chuo husika.

Naomba nitengue kauli ya awali kuwa aliteuliwa, I wanted to say alichaguliwa
 
Back
Top Bottom