King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
mkuu hawa jamaa usiwape kauli za kuwasamehe kirahisirahisi hivyo. wameshatunyanyasa mno hawa, sehemu za migodini kule Mara binadamu na mifugo tunadhurika na makemikali ya migodini, tukiwaambia wanaanza kutudhihaki. in-short hawa magamba wameshatusulubu vya kutosha hasa hizi awamu za pili, tatu na nne. yaani ni wadhulumaji na wanyang'anyi wa mchana kweupe. wanajijari wao tu na washikaji zao. hawa sio watu wa kusamehe kirahisi. tuwatoe kwanza madarakani halafu ndio tufikirie kuwasamehe.
Dah! umenchekesha sana,alipata cheo baada ya kufunua malinda???!!!!!! ila yawezekana ni kweli make kalikuwa kamekomalia kwelikweli!!!Huwenda kalipata hicho cheo kwa kufunua malinda! Hela yetu inauma-Watulipe tusepe!
Na hilo ndilo tatizo kubwa tulilonalo. Wanawake wengi waliopewa nyadhifa kubwa hawakupewa kwa sababu wanao uwezo wa kumudu majukumu ya nyadhifa zao. Tazama fisadi Makinda anavyokinajisi kiti cha uspika. Nimesikia vituko vya RC wa Tanga Lt Galawa juzi nikapata kizunguzungu. Nimewasikia wengine leo wanalia kuwa ipitishwe sheria itakayowezesha kuwa na uwakilishi wa 50% kwa wanawake na wanaume bungeni.Huwenda kalipata hicho cheo kwa kufunua malinda! Hela yetu inauma-Watulipe tusepe!
Hatuna Serikali wa Bunge, wote ni wasanii 2 hawa. ilikuwaje ukapelekwa bungeni na ulipitaje mswaada kandamizi bungeni? Ikifika wakati wa kuomba kura wajibu haya maswali, wezi wakubwa hawa
hii ilikuwa ni mbinu chafu ya kuendela kumuachia r1 channce ya kuchezea hela za migongo yetu tulizowekeza kwa miaka kadhaa. Hii noma sana hawa watu wanatumia nafasi yao vibaya dhidi ya maslahi ya umma wa tanzaniahifadhi za jamii za nchi zilizoendelea tofauti na huku kwetu,cha kushangaza ssra wanacopy nje wanakuja kupaste huku kwetu,tena wanapaste vipengele vinavyomnyonya mtanzania(withdrawal benefits) huku wakivi-delete vile vinavyomfaidisha mtanzania(unemployment benefits) huu ni ujinga,sheria sio msaafu wala biblia kusema kwamba haibadiliki,wamefanya kosa tumewasamehe ila msije kurudia ujinga huu tena!!