Hatimaye ndege imeshindwa kuruka Precision air PW 413

Hatimaye ndege imeshindwa kuruka Precision air PW 413

Rural Swagga

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
1,643
Reaction score
1,175
733811_10151506797294120_1945025190_n.jpg 421473_10151506797789120_115132056_n.jpg 417739_10151506803389120_1946364969_n.jpg

Wabongo wengine bwana tumeambiwa ndege mbovu tukashushwa cha ajabu mwazo lowasa hakuwepo saizi napanda namkuta kwenye ndege tena jirani yangu mbele kabisa.sasa si wangesema jamaa kachelewa so wanamsubiri...heal tanzania
 
Poleni sana siasa mpaka kwenye mambo ya usafili waliogopa nini kusema mh,kachelewa ijulikane tu.Sasa mbona tumejua kumbe nae kwenda na mda tatizo au foleni....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: KUN
Mbona ndege kama daladala la kwenda Gongo la Mboto au Mbagala?
Watu full kusimama.

Watanzania hawajui mbinu za kibiashara,
ni hatari sana kuwatangazia wateja wako kuwa ndege yako ni mbovu ilhali ni nzima.
Utajikuta unapoteza wateja na ndege zako zikaambulkia kupewa jina la mkweche wakati ni mpyaaaaaa uliziiingiza juzi kwa mbwembwe kutoka Ufaransa
View attachment 85140View attachment 85141View attachment 85142

Wabongo wengine bwana tumeambiwa ndege mbovu tukashushwa cha ajabu mwazo lowasa hakuwepo saizi napanda namkuta kwenye ndege tena jirani yangu mbele kabisa.sasa si wangesema jamaa kachelewa so wanamsubiri...heal tanzania
 
Rural Swagga Hebu funguka vizuri! Ni kwamba ndege haikuwa mbovu ila walikuwa wanamsubiri EL?

Na baada ya kufika EL ndege iliondoka?

Hebu tuhabarishe vema Kamanda wetu!
Kamanda ni Mwanza watu tumeingia kwenye ndege tunajua tunapaa,Jamaa wakatangaza kuna hitilafu ya kiufundi tukashuka.Mara wakatutangazia imetengemaa kupanda si ndio nikakutana na kipara cheupe pee kumkaribia kumbe ni Jamaa(Gambazzz) na ukiniuliza amepitia wapi hata sijui.ufisadi mpaka kwenye usafiri??Au ni ya kwao mkuu?
 
mmecheleweshwa muda gani?

...huo muda waliowachelewesha tafsiri yake nyepesi ni kuwa ndivyo wamachelewesha maendeleo ya nchi (wananchi/abiria)
 
mmecheleweshwa muda gani?

...huo muda waliowachelewesha tafsiri yake nyepesi ni kuwa ndivyo wamachelewesha maendeleo ya nchi (wananchi/abiria)

Mhmh hizi siasa hadi kwenye biashara ni too much. Magamba noma, nimeona ndege inaingia hapa JNIA saa 10 kamili badala ya saa 9 kamili. Ole wao wanicheleweshe leo kwenye PW 414 sitawasamehe kamwe na itakuwa mwisho wangu kupanda hizi ndege kudadeki
 
Mbona ndege kama daladala la kwenda Gongo la Mboto au Mbagala?
Watu full kusimama.

Watanzania hawajui mbinu za kibiashara,
ni hatari sana kuwatangazia wateja wako kuwa ndege yako ni mbovu ilhali ni nzima.
Utajikuta unapoteza wateja na ndege zako zikaambulkia kupewa jina la mkweche wakati ni mpyaaaaaa uliziiingiza juzi kwa mbwembwe kutoka Ufaransa

Utakimbilia wapi ndege zenyewe chache. Wanajua demand ni kubwa kuliko supply.
 
wanaogopa akiwa rais anaweza futa shirika hah ahhhaaa ahhhhaaaaaaaaaaaa w.end njema!
...ni kweli Mkuu kwani kipindi kile jamaa akiwa PM, aliwahi ifuta "Haki Elimu"...wanamjua jamaa ni mtu wa "kisasi" kama MKULU!!!
 
Tz vituko haviishi. Utasikia anawasimulia rafiki zake au mkewe kuhusu tukio hilo kwa ufahari kabisa. Ndo aina ya viongozi wetu hao na bila haya mfanyakazi akichelewa anamkoromea.
 
Hongera kwa kupanda cabin moja na Lowassa...
 
Poleni sana siasa mpaka kwenye mambo ya usafili waliogopa nini kusema mh,kachelewa ijulikane tu.Sasa mbona tumejua kumbe nae kwenda na mda tatizo au foleni....

mkuu huyu siyo mheshimiwa tena acha kumpendelea!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom