Hatimaye Mbeya kumetulia

sijapenda conclusion ya rais wa mbeya, who will pay for lives of 9 people of republic of mbeya? ile torture waliyoipata toka kwa polisi ni nani anawajibishwa? kurudi kwenye biashara wakati neno la mpuuzi mmoja limewagharimu uhai na utulivu raia wa jamhuri ya mbeya haitoshi... nadhani kuna mtu anatakiwa apoteze madaraka plus mashtaka juu, tena ya uuaji! nani aliyeamuru matumizi ya risasi za moto kwa waandamanaji waliokuwa na chupa za maji tu? sijaridhika! h.e. head of state, hon. dr. joseph mbilinyi and his cabinet should review their decision to calm down mbeyans by just kuwarudisha kwenye eneo la biashara! o mama!
 
Baada ya kuona hizi picha za Mbeya sasa nimekuwa convinced freedom is coming soon. Aluta continua
 

mshitakiwa no.1 ni mkuu wa mkoa,2.kaimu kamanda wa polisi,3.mkurugenzi wa manispa na polisi waliousika.
 

Siku zote suluhu huja kwa majadiliano. Ubabe wa Kandoro na polisi wake usingefanya chochote. Nashindwa kujua kama watumishi wa serikali wanajua hali halisi ya watu wao wanaowaongoza. Nashindwa kujua hili kwani ni wazi kuwa hawa watu wanategemea biashara zao ndogo ndogo ili waishi hapo mjini. Kitendo cha kuwavuruga hata kuwaambia wabadilishe sehemu wanayofanyia hata umbari wa mita 3 tayari maisha yao yameharibika. Hawa watu wana watoto, wanasomesha na majukumu chungu nzima zikiwemo kodi. Pindi wanapobadirishiwa utaratibu kama kandoro alivyotaka kufanya wanaathirika sana na wanaona kuishi na kufa ni kitu kimoja. Watu wasome alama za nyakati na pia wawaelewe wale wanaowaongoza. tunashukuru kama kumetulia.
 
hayafai haya mafisadi majingaaaaaaaaaaa kwellili............
Li serikali kama la mazezeta vile. Haya majadiliano kama wangefanya kabla ya mapigano si ingeepusha shari? Wanasubiri wauwe kwanza halafu ndo wanafanya majadiliano? Wapuuzi wakubwa.
 
Two lesson I learnt from last week scenerio. kwanza, our police forces doesnt know the means to solve community problemssecond we dont have medias in Tz, coverage ya matukio ya mbeya na arusha is not the reality, thanks for JF member who introduced us to MBEYA YETU. Blogspot thats where everything have been revealed, yaani kila kitu kimeonekana humo. my suggestion ni kwamba either iingie unbias media ili ilete habari halisia za mambo ya Tanzania pia kuwe na blog nyingi karibu kila mkoa ili habari zionekane kwa uhalisia. I was shocked when I saw Mbeya incidence through that blog, kweli wa Tanzania tunafichwa mengi.
 

wanajidanganya kuwa wakionyesha matukio kama hayo wanawapa milage cdm pia wafadhi wataona kuwa tz is not safe.
 
Laiti huu moto ungewashwa hadi kwenye wilaya labda tungeona maendeleo kidogo.
 
Wananchi wa Mbeya kweli wamechanganyikiwa. Sugu kweli wameamua kumtambua kama raisi wao!!!......

huu ugonjwa unasambaa kwa haraka sana ilikuwa arusha,mwanza,vyuoni, mbeya kesho sijui itakuwa wapi..
 
There was trouble in province of Mbeya, Sugu came and sat the right way,facing east and all the trouble ended. Old Chinese proverb adapted for Tz. Fundisho busara zaidi ya maguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…