Hatimaye Lowassa abomoa hadhi ya CHADEMA

Watanzania tuwe makini katika kuchagua tuchague viongozi waadilifu,wachapakazi,na pia wenye uzalendo wa kweli na wapenda maendeleo
 

Naona umekuja kasi! Hata wenzako walikuja na speed kama yako lakini sasahivi wengi tu wako ukawa! Utatuelewa tu mpaka ikifika 25 oct kura yako tunayo!
 
Ninyi ndio mliowekwa hapo millenium towers kijitonyama kufanya ujinga huu!! Hizo pesa na ziwe laana kwenu na uzao wenu.
 
Ukweli mnaupata lakini sema vichwa vinakuwa vigumu kuelewa mnahitaji elimu ya ziada kwa ajili ya kujitambua.

Niongezee vijana wa IT tuongeze nguvu kwenye mitandao. Tujitahidi wadau hali yetu ni mbaya huko field
 
Kamua ukawa, kamua ukawa
 

Attachments

  • 1442606538988.jpg
    44.3 KB · Views: 180
Kukumbatia maji kama jiwe ni ujinga wajomba, acha uchu wao wa madaraka uwaadhibu
 
Ukkosa la kuongea kuhusu mafunguo, unaamua tu kumkaba lowassa....
Mbn kikwete analonga sana lkn kashindw kuongoz nchi?????
 
Mafisadi papa kama Lowasa sisi wanainchi hatutaki hata kusikia sauti zao,walizokula zinawatosha.
 
unataka fisadi aingie ikulu ili iweje hatutaki huo ufisadi kafanyeni na mafisadi wenzenu.

CCM kiboko mpaka makarani mafisadi wana mijengo hataree. ...mara elfu kumi fisadi mmoja kuliko ccm mafisadi laki tano
 
Kupigana vita inataka Afya bora na. Kumbu kumbi ii ujue umeweka wapi silaha yako kwani huwezi tena kukumbushwa 👏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…