Dunia sasa inabadilika sana na viongozi wabaya an vibaraka wao hawatakiwi kupewa nafasi. Mabadiliko ni lazima yalianza Misri, Yemen, Libya, Tunisia, Syria, Kenya bado Tanzania na Uganda. Tunahitajia viozi wakweli waadilifu wachamungu wa kweli watakaotengeneza ajira kwa vijana, unafuu wa maisha na kuhakikisha kuwa rasilimali zinatunzwa kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho