Msambaa mkweli
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 339
- 439
Leo tarehe 26/11/2020 Askofu Munga wa DKMS-KKKT amepata mrithi wake Mch. Dr. Msafiri Joseph Mbilu kwa ushindi wa 84%.
Uchaguzi umekuwa wa Huru na Haki. Mungu awe kiongozi wenu kwani kuna mambo mengi hayapo sawa haswa sharikani, wengi tumeumizwa mioyo yetu.
Big up kwa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kuhakikisha usalama wa kibinadamu.
All the Best.
Uchaguzi umekuwa wa Huru na Haki. Mungu awe kiongozi wenu kwani kuna mambo mengi hayapo sawa haswa sharikani, wengi tumeumizwa mioyo yetu.
Big up kwa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kuhakikisha usalama wa kibinadamu.
All the Best.