Ndugu zetu ajira mmezipata,msikatae kwenda kazini,kazi ni kazi ipo siku mtatoka kimaisha kwani daima hata mbuyu ulianza ova mchicha
All the best dear comrades!
ukipangwa singida town PM me... Nikupe guidance
Hapa kazi ipo,nmepangiwa Kigoma Vijijini wakuu kazi ipo
Acha kukatisha tamaa wenzakojiandaeni kuamka asubuhi unajikuta umelala kiwanjani uchi wa mnyama
Njoo mwana tujenge taifa,mi nipo kigoma vijijin toka 2009,tupo graduate4,nyarubanda high school,barabara rami,njia ya burund(kigoma kask)
Acha kukatisha tamaa wenzako
Acha kukatisha tamaa wenzako
Hapa kazi ipo,nmepangiwa Kigoma Vijijini wakuu kazi ipo