Hatimae SUA wapata DVC(AF) mwingine

Bora kaondoka zake yule mama ni mnoko ile mbaya. Alimla kichwa jamaa mmoja kisa eti ana rasta na sio utamaduni wetu.
 
Huenda wewe ulitongoza wale mabinti zake!

hahaa hasa yule wa Mzumbe alikuwa anapiga makonyagi kama hana akili nzuriiiii..dah umenikumbusha sana mambo ya chini ya muti...tukikamata bumu halafu ndo tumetoka kwenye test ya sembuche
 
Revvvvvvvvvvvv we ni noma, umeoa MUGLO? hahahaaa jama njooni mchukue watoto wenu huku vibandani na barakuda maana wengine wanaitwa vet, wengine general nk.Sasa mambo shwariiiiiiiiiiii, ngoja tuone Matovelo atakuja na sera gani ila namuamini kwani amesha kaa postgraduate kwa muda mrefu sasa.
 
okay so whats nest for Prof. Pereka? Ina maana wakati akiwa DVC Finance alikuwa hafundishi? nakumbuka alinifundisha Animal physiology ila sikuwa na tishio la kukamatwa wala hajawahi kunikamata.....in fact tulikuwa friends

Hivi ana binti zaidi ya mmoja? eti Jafar?

Wa SUA mmejaa sana hapa janvini, kulikoni?
 
okay so whats nest for Prof. Pereka? Ina maana wakati akiwa DVC Finance alikuwa hafundishi? nakumbuka alinifundisha Animal physiology ila sikuwa na tishio la kukamatwa wala hajawahi kunikamata.....in fact tulikuwa friends

Hivi ana binti zaidi ya mmoja? eti Jafar?

Yes, ni zaidi ya mmoja, ninao wafahamu mimi ni wawili (mmoja baba mnyakwisa, mwingine baba msukuma). Yule mkubwa akaja kubabatizwa jamaa mmoja alikuwa mcheza mpira wa timu ya SUA na alikuwa akifanya kazi pale Faculty ya Forest enzi hizo.

Huyu mama anasifa moja kuu: Alianzia "certificate" (akapata mtoto), "diploma" (akapata mtoto), "degree" (akapata mtoto), yaani ni ukali wa bure lakini ni mbovu kwa wanaume (ndege mjanja .....) - kwa tabia zake si rahisi kuolewa.
 
Mimi nashukuru kwa upande wetu ma engineer(agro) alikuwa hatugusi kwani tulikuwa ni wembe na moto wakuotea mbali pindi tulipokuwa tukitaka haki yetu,hatukujali mama peleka wala nani labda wale wa departiment yetu prof tarimo,tuliwahi kumtowa kasile darasani kwa viboko,aaaaaaah engineers kweli ni chiboko,nadhani hata hii nchi ina hitaji majasili kama ma engineer from sua,mama peleka na mtoto wake wa crdb bank wanajuwa moto wetu,powa mama kapumnzike salama,ni zamu ya wengine sasa
 
Revvvvvvvvvvvv we ni noma, umeoa MUGLO? hahahaaa jama njooni mchukue watoto wenu huku vibandani na barakuda maana wengine wanaitwa vet, wengine general nk.Sasa mambo shwariiiiiiiiiiii, ngoja tuone Matovelo atakuja na sera gani ila namuamini kwani amesha kaa postgraduate kwa muda mrefu sasa.

Sijawahi kusikia DVC (AF) pale SUA akasifiwa. Matizo ni mawili:

1. Wengi ni waalimu wa muda mrefu na hawajui wala hawajaandaliwa kuwa "adminstrators", hivyo huongoza watu kwa hisia zaidi ya professionalism.

2. Wengi "ghafla" wanajikuta wanatawala pesa nyingi sana ambazo hawana utaalamu wa ku-manage finance, hivyo wahenga walisema ukitaka kuona tabia halisi ya mtu aidha mpe cheo kikubwa au mpe pesa nyingi (sasa vikichanganyika pamoja, moto unawaka)
 
hahaa hasa yule wa mzumbe alikuwa anapiga makonyagi kama hana akili nzuriiiii..dah umenikumbusha sana mambo ya chini ya muti...tukikamata bumu halafu ndo tumetoka kwenye test ya sembuche

haaa,umenikumbusha "sembuche the great". Kumbe humu wasuaso wenzangu mpo wa kumwaga ee!
 
Jamani Wasuaso na ma VET mliopitia mikononi kwa Mama nawaambia hivi, Mama sasa amezeeka na sio mkali tena kama zamani, ana roho nzuri ya kuwasaidia watu kama Wasukuma walivyo. Naamini kabisa " Shetani mzee hugeuka kuwa Malaika"
 
Revvvvvvvvvvvv we ni noma, umeoa MUGLO? hahahaaa jama njooni mchukue watoto wenu huku vibandani na barakuda maana wengine wanaitwa vet, wengine general nk.Sasa mambo shwariiiiiiiiiiii, ngoja tuone Matovelo atakuja na sera gani ila namuamini kwani amesha kaa postgraduate kwa muda mrefu sasa.

hakuna jipya hapa, ili kuwe na jipya sua wakaazime admin kutoka chuo cha uhaziri, mda wote matovelo alipokuwa postgraduate chuo kimekuwa ni mzigo kwa wanafunzi wa post grad: ada juu na huduma duni, kozi ya miaka2 inasomwa miaka5 and no bodycares.
 
hahaa hasa yule wa Mzumbe alikuwa anapiga makonyagi kama hana akili nzuriiiii..dah umenikumbusha sana mambo ya chini ya muti...tukikamata bumu halafu ndo tumetoka kwenye test ya sembuche
1689759234324.png
 
Back
Top Bottom