Hatimae Polepole awaangukia Maaskofu

leonaldo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
2,584
Reaction score
3,185

Baada ya maaskofu kuliamsha dude kuanzia kipindi cha Salam za krismasi na salam za mwaka Mpya, hatimae katibu mwenezi CCM ndugu Humphrey polepole amejitokeza na kuwaomba maaskofu waishauri serikali sirini kwani kwa hali ilivyo sasa ni kama wanaidhalilisha, Rais yuko tayari kupokea ushauri na kuufanyia kazi.

My take
Kila shetani ana mbuyu wake ukimya wa maaskofu na mashehe umetuumiza sana kama taifa na sina shaka wameamuka usingizini baada ya Askofu niwemugizi kuelekezewa bomba la moshi, pia salam zangu za pole ziwafikie Clouds Media
 
Kuna wakati Polepole huwa anaongea kama Msigwa na wakati mwingine Msigwa huongea kama Polepole hasa linapokuja swala la matumizi ya nafasi ya wanayemsemea yani " Rais " au " Mwenyekiti "!! Lakini hiyo huwa haibadilishi maana ya ujumbe mzuri wanaouwasilisha!!
 
Why sirini wakati madhila yanawapata wananchi hadharani? Yale maneno matakatifu ya Bw. Yesu, "... nendeni mkamwambie yule mbweha ...", hayakuwa sirini; yalikuwa in public na hata "mawe" yaliisikia ile kauli takatifu kutoka kinywani mwa Mpakwa Mafuta wa Mungu.
 
Walitaka kuanzisha vita ambayo wameona kabisa hawawezi kuishinda kamwe!
 
Wasiojulikana hawajaisha halafu uende kumkosoa mkuu waziwazi, siamimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…