Edson JF-Expert Member Mar 7, 2009 9,846 5,076 Apr 27, 2010 #1 sijui nania alimpa nauli mrisho mpoto maana jana alikutana na anko wake akamwambia yaliyo moyoni mwake, alimchana ki mtindo anko.....
sijui nania alimpa nauli mrisho mpoto maana jana alikutana na anko wake akamwambia yaliyo moyoni mwake, alimchana ki mtindo anko.....
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Apr 27, 2010 #2 ha haha lakini mwishoni aliniboa alivyomaliza mchano wake..sijui anataka kiti ikulu?
M muntari New Member Mar 19, 2010 2 0 Apr 27, 2010 #3 Wakuu itakuwa vyema sana kama kuna mtu ataweza kutupa link ya kusikiliza ujumbe aliopewa mjomba baada ya mpoto kupata nauli.
Wakuu itakuwa vyema sana kama kuna mtu ataweza kutupa link ya kusikiliza ujumbe aliopewa mjomba baada ya mpoto kupata nauli.
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Apr 27, 2010 #4 muntari said: Wakuu itakuwa vyema sana kama kuna mtu ataweza kutupa link ya kusikiliza ujumbe aliopewa mjomba baada ya mpoto kupata nauli. Click to expand... Link tutatoa wapi tena wakati ujumbe aliufikisha live kwenye maadhimisho ya miaka 46 ya muungano
muntari said: Wakuu itakuwa vyema sana kama kuna mtu ataweza kutupa link ya kusikiliza ujumbe aliopewa mjomba baada ya mpoto kupata nauli. Click to expand... Link tutatoa wapi tena wakati ujumbe aliufikisha live kwenye maadhimisho ya miaka 46 ya muungano
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,446 Apr 27, 2010 #6 Hongera sana Mpoto sijui shairi hilo tutalipataje? Ngoja nipekue pekue
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Apr 27, 2010 #7 Fidel80 said: Hongera sana Mpoto sijui shairi hilo tutalipataje? Ngoja nipekue pekue Click to expand... wewe ni jirani yako mwambia akuuzie CD mjomba!
Fidel80 said: Hongera sana Mpoto sijui shairi hilo tutalipataje? Ngoja nipekue pekue Click to expand... wewe ni jirani yako mwambia akuuzie CD mjomba!
Isimilo JF-Expert Member Aug 16, 2007 217 6 Apr 27, 2010 #8 mimi nilisikiliza sehemu kubwa alikua anaongea kama hotuba. kama vile alikua anatungia palepale na kuingiza vionjo kidogo kidogo. nafikiri unaweza kuupata TBC AU CHANELL TEN. ila anko mwenyewe alikua anacheka sana sana wakati anapewa ujumbe.
mimi nilisikiliza sehemu kubwa alikua anaongea kama hotuba. kama vile alikua anatungia palepale na kuingiza vionjo kidogo kidogo. nafikiri unaweza kuupata TBC AU CHANELL TEN. ila anko mwenyewe alikua anacheka sana sana wakati anapewa ujumbe.
B Bibi Kizee JF-Expert Member Feb 18, 2008 211 9 Apr 27, 2010 #10 hapa link ya maadhimisho muungano http://bit.ly/8X3QMS