kikundi kilichoundwa na baadhi ya wasanii wa bongo fleva, walimface JK wakaomba studio ya kuboresha nyimbo, wakakisajili kikundi kama kampuni wakapewa. wasanii wengine wakalalamika through Sugu bungeni kwa kama 3 years, walijibiwa several times waliiomba ndo waliopewa. Hatimeye leo kwenye majibu baada ya budget ya wizara husika wamekubali irudishwe serikalini yani BASATA. Imeongelewa sana hii issue mkuu!