Ni breaking news maana SA walishatangaza kukosa wateja karibu laki nne kwa kushindwa kuonyesha hiyo Afcon naona Motsepe kawabeba kawapa haki kwenye hizo TV 6000 zingine zilizopewa Duniani maana Dstv wangeangukia kifo cha mende maana walishaanza kutangaza hasara tayari..