residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,132
- 9,775
Mkuu;
Jibu hoja za Masoud Kipaya!
Don't shoot the messanger!
Tume ipo huru kwa mujib wa sheria, lakin angalia hiyo sheria inampa rais mamlaka ya kcuhagua wajumbe watume. Inamaanisha kuwa rais anaweza i control tume na tume isifanye lolote.Tume iliopo ni huru kwa mujibu wa sheria na katiba sio kwa mujibu wa Mtazamo wako
Hapa sio kujikuta na kuumizwa, upinzani umeumizwa kwa makusudi na dola na vyombo vyake. Na sasa Dola inajitengenezea plan B ya upinzani kwa kumtukuza homeboys Shibuda/Cheyo na Mbatia wale kindakindaki sasa ni mashetani na watumwa na mabeberu.Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''
Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.
Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.
Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.
Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!
Watakuwepo wengi tu kupitia CCM.Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''
Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.
Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.
Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.
Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!
Upinzani ulishakufa tangu 2015.Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''
Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.
Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.
Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.
Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!
Uzuri mwingine tena anacholeta katuni kutokana na kile kinachosemwa sana na walimwengu piaUzuri wa Masoud anashambulia kote.
Upinzani kwisha habari yake ..... viongozi wa vyama vyote washaingia Ikulu tunamsubiri Mbowe najua na yeye anatamani kwenda Ikulu kuonana na Mh. JPM but usijali na wewe Mbowe siku yako itafika ya kwenda kumsalimia Mkuu wa nchiKuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''
Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.
Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.
Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.
Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!
Huo mfano sio mzuri kwakuwa mimi ni mshabiki wa timu ya Simba.Ni mtu mjinga tuu ambaye anaona Simba na Yanga wako uwanjani lakini Simba miguu imefungwa kamba kisha akasema "hakika Yanga ni timu mahiri ona Simba alivyozidiwa kila idara! Hawa lazima washuke daraja"
Wajinga hapo sio timu ya Simba Bali Yanga na washabiki wanaoshangilia kama mazwazwa. (Samahani kwa mfano wa Yanga)
Hivi CCM inaona raha gani kupambana na mpinzani ambaye ni kama amefungwa mikono na miguu??Kuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''
Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.
Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.
Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.
Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!
Tena kama ni shabiki waSimba ndio utaelewa vizuriHuo mfano sio mzuri kwakuwa mimi ni mshabiki wa timu ya Simba.
Na akieka vyengine pia uunge mkono hojaKuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''
Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.
Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.
Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.
Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!
kumbe bado kuna watu wazima wanajidanganya hadi leo??Endeleeni kujifariji. Siku wakurugenzi na wasimamizi wa uchaguzi watakapohamua kutangaza matokeo ya ukweli ndio siku midomo yenu itakapojaa nzi kwa mshangao.
CCM bila polisi tume nk ni wepesi Kama toilet paper
pamoja na yote bado upinzani unasongaKuna msemo wa kiingereza unaosema, ''A picture is worth a thousand words''
Kibonzo cha leo kutoka kwa mchoraji mashuhuri, Masoud Kipanya kimetoa picha halisi kuhusu hatima ya upinzani nchini.
Ukiangalia na kuchanganua kwa undani utagundua ukweli wa kibonzo cha Masoud.
Upinzani wa leo umebaki na hoja za hisia huku ukiishi kwa kutafsiri maneno ya wanasiasa au watumishi wa serikali badala ya kujenga hoja za masuala.
Kwa mwendo huu mwaka 2020 kuna hatari ya kujikuta tuna Bunge la Tanzania lenye Wabunge hawazidi watano kutoka kambi ya upinzani!