Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Umeandika ukweli mzito sana !
Potelea mbali , aliyeshinda atangazwe .Kwa matokeo yalokwisha tangazwa na ZEC yakaonesha kuwa CUF walikuwa tayari wana majimbo tisa kutoka unguja, ni pathognomonic kuwa washindi, sema tu kuwa hata wakitangazwa kuwa washindi ccm Zanzibar itaanza ku behave kama CUF inavyo behave wakiwa nje ya dola
we jamaa ni typist mzuri sana, tumeona ubora wako.
siku nyingine fupisha, toa points tu na sio brabra nyingi
Tujifunze kusoma jamani, yaaani hizo page mbili watu tunalalamika.
Zote ni points!
Acha uvivu wa kusoma je ingekua kitabu si ungekitupilia mbali
Tujifunze kusoma jamani, yaaani hizo page mbili watu tunalalamika.