akili zinawaza ujima( uzamani) lakini dunia inaendelea ( teknolojia) hata ukitaka supu ya majani ya maboga lazima uende kununua mbegu duka la kilimo na mifugo ( zilizowekewa kemikali tayari) na utamwagilia maji ya sumu, na utaspray viuadudu vya sumu, na utachuma kwenda kula ( sumu) so wait to die, no one gonna help you, this is a profit maximization world, they dont care of your health but money first!!
Ngw'ana Kabula