Ingekuwa uswahilini ningesema ndiyo mkome. Nimeandika post zaidi ya 30 na sijabadili msimamo hata dakika moja kwamba Tanzania hatuna hata tone moja la maji ya Ziwa Malawi.
Wapuuzi humu badala ya kufikiri wa kutumia vichwa ikawa kama vichwa tunatumia kwa kufuga nywela kama alivyosema Justice Werema.
Kila aliyetoa ukweli kuhusu hili mkamseama ni mmalawi nikiwemo mimi. Sasa mnaona mnaelekea kushindwa porojo zenu mnaanza kumlalamikia Kikwete.
Narudia, muwe na adabu kwa mambo ambayo ni proffessional. Kwa sababu proffessionaly Tanzania hatuna hata tone moja la Ziwa Malawi na sasa kwa kujiamini nimeshaanza kuongeza kwamba hatupati tone hata moja la Ziwa hilo labda waturuhusu tu kufanya shughuli zetu bila kudai kwamba ni letu.
Sasa nisikie kama mtamuita JK naye ni mmalawi. Hakuna aliye mmalawi hapa baali kuna watu waliokataa kutumuia ubongo wao kujua kwamba Heligoland Treaty haiwezi kuwa revoked na 1982 Sea Convention na hivyo hatuna hata tone moja la ziwa Malawi.
Narudia tena, hili ni fundisho kwamba muwe na adabu proffesionals wanapoongea.
Ziwa Malawi ni la Malawi by 100% na Kikwete asingeweza kuzuia hili. Achilia mbali wapiga porojo na wakurupukaji wa JF.
Ukitaka pitia thread zangu kwa kubonyeza hapa.
Things to remember among us as African countries we are the smooth market of weapon from abroad, so before war we have to think twice the necessity.
nawenyewe atasema ni kiherehere chao kuongelea mambo ya siyowahusuNdio hatari ya kuropoka wanafunzi wanapata mimba kutokana na kiherehere chao leo amesahau kama wote waliokuwa wanazungumza na kutoa matamko ya vita ni watu wa chama chake
huyo mama kama ana uhakika ziwa lote ni la Malawi anataka mazungumzo ya nini kwa namna nyingine yeye ndio anachochea vita na hali ya wasiwasi kwa wananchi wanaoishi kando kando ya ziwa na asijifanye anajua historia kwamba Mw.Nyerere alikubali juu ya hiyo mipaka ashukuru swala hili limeibuka wakati ameshafariki kwani angechambuliwa na kimbelembele chake cha kujipendekeza kwa wazungu
huyu JK naye kilaza! Chama gani cha upinzani kimehamasisha vita? Upuuzi huu na inabidi aombe radhi
true brother. You start war you make white man rich as you buy weapons. Lets not be stupid. Malawians and tanzanians in the boarder area are related and speak same languages
Yani bora umegundua mapema sasa Kama mama ajasema 100% ni lake alafu mbayuwayu anaomba huruma ya maongezi tena kwa kutukandia kuwa waliosema wako tayari kwa vita ni wapinzani wakati ni ccm wenyewe huoni alikuwa anaomba kuhurumiwa? Naamini ziwa limetutoka kifuatacho ni kilimanjaro, serengeti na bukoba.... Kweli Hata bibilia iliandikwa dawa au fimbo ya kidume ni kijike tuu. Kawa mpole eti anamuita joice my (sister) (if I make billion dollars a month I will make Tanzanian to be heaven) (mkigoma tuu mmepoteza ajara) (mkiandamana tuu mtagawana majengo ya serikali moi na segerea) (Mimi sio mungu kuwa ntafanya mvua inyeshe) (Hata Mimi sielewi kwanini watanzania ni masikini) (wanafunzi wanapewa mimba kwa ajili ya kiherehere chao) sasa kiongozi mwenye kauli Kama hizi unategemea niñi hapo? Wana ccm walipotangaza vita na Malawi mbona haja kanusha in public hapa tz anakwenda kujitetea kwenye nchi ya adui Kama sio trator huyu? Huyu jamaa hakustahili kuwa Hata balozi wa nyumba kumi ndio maana Nyerere alimkataa akamfariji kwa kumwambia umri wako bado...hivi kwanini Siku moja tusiseme basi Kama Libya na kwingineko? Kuvumilia mpaka tuchakachuliwe tena 2015 alafu tuvumilie tena mpaka 2025 jamani bora nihamie Somalia ambapo kila mtu ni kiongozi wa maisha yake no govt no shit