HATARI: Tanzania President rejects war, Joyce Banda insists whole lake belongs to Malawi

Habari imeelezea maongezi ya viongozi hao wawili na kwamba Kikwete karidhia hivyo, nitajitahidi kutafuta habari hiiyo na kuibandika hapa, kwa sasa na shughuli fulani naifanya hapa.
 
He said "the right thing" in what terms?

Kukataa kwamba Tanzania inajiandaa na vita, kwa maana ya kwamba kwanza kuna mazungumzo yanaendelea na habari za vita hazitakiwi kupewa nafasi sana kwa sasa.

Lakini pili, hata kama Tanzania ni kweli inajiandaa kwa vita, kijasusi hatakiwi kusema "tunajiandaa na vita". Vita inatakiwa kuja kwa surprise, humwambii mpinzani wako kwamba 'najiandaa kwa vita".

Kwa hiyo wanaojua diplomasia na ujasusi wakitaka kujua kama Tanzania inajiandaa kwa vita, wataangalia mengine, hii kauli ni ya kutegemewa kutoka kwa head of state aliye katika position ya Kikwete sasa.
 
Kukataa kwamba Tanzania inajiandaa na vita, kwa maana ya kwamba kwanza kuna mazungumzo yanaendelea na habari za vita hazitakiwi kupewa nafasi sana kwa sasa.

Lakini pili, hata kama Tanzania ni kweli inajiandaa kwa vita, kijasusi hatakiwi kusema "tunajiandaa na vita". Vita inatakiwa kuja kwa surprise, humwambii mpinzani wako kwamba 'najiandaa kwa vita".

Kwa hiyo wanaojua diplomasia na ujasusi wakitaka kujua kama Tanzania inajiandaa kwa vita, wataangalia mengine, hii kauli ni ya kutegemewa kutoka kwa head of state aliye katika position ya Kikwete sasa.
He might have made a "right move".I doubt that he said the right thing...kauli haiko kama ilitoka from the commander in chief.Wamalawi wako karibu sana na sisi,so unadhani hawajui kwamba ni uongo kauli hizo hazikutolewa na wapinzani kama rais anavyotaka waamini?Kauli zote zilitolewa na watu walioko chini yake,sasa kwenda kujieleza the way alivyofanya mbele ya rais wa Malawi si incompetence?Kauli haikuwa right...Wamalawi wanafahamu kuwa si yeye aliyesema hayo maneno,so wanafahamu kabisa kuwa waliosema ni viongozi wenzake JK walioko kwenye cabinet yake na chama chake.Sasa huo usanii anamfanyia nani?wamalawi,sisi,ama sote sisi na wamalawi?
 
He might have made a "right move".I doubt that he said the right thing...kauli haiko kama ilitoka from the commander in chief.Wamalawi wako karibu sana na sisi,so unadhani hawajui kwamba ni uongo kauli hizo hazikutolewa na wapinzani kama rais anavyotaka waamini?Kauli zote zilitolewa na watu walioko chini yake,sasa kwenda kujieleza the way alivyofanya mbele ya rais wa Malawi si incompetence?Kauli haikuwa right...Wamalawi wanafahamu kuwa si yeye aliyesema hayo maneno,so wanafahamu kabisa kuwa waliosema ni viongozi wenzake JK walioko kwenye cabinet yake na chama chake.Sasa huo usanii anamfanyia nani?wamalawi,sisi,ama sote sisi na wamalawi?

All in all, Commander in Chief ka clear any doubt kuhusu msimamo wake kuhusu vita kwa wakati huu, publicly.
 
huyu JK naye kilaza! Chama gani cha upinzani kimehamasisha vita? Upuuzi huu na inabidi aombe radhi
Jamani kwani hamjui kuwa kwa sasa hao wote waliotamka ni wapinzani wake kisiasa ndani ya chama chake?
kumbuka yeye anamtu wake anaye taka awe raisi 2015, wakati hao wote waliotamka wanapigana vikumbo kuwania hiyo nafasi. yuko sahihi kuwaita wapinzani.
 
hii ni tatizo, nadhani JK anaogopa vita, lakina hajatoa msimamo wa sreikali juu ya mipata.....sijui tatizo nini?
 
All in all, Commander in Chief ka clear any doubt kuhusu msimamo wake kuhusu vita kwa wakati huu, publicly.

Kwanini hakuclear hapa nyumbani mpaka aende kuchanganya na uongo?kwani ye rais wa Msumbiji?waliotoa hizo kauli ambao ni subordinates wake, walizitolea nyumbani,yeye kaenda huko kupotosha.Double standards za commander in chief.Kwasababu ameongopa,kauli yake haiwezi kuchukuliwa serious.Unless wamalawi wawe wame mmissquote.Yeye ni commander in chief akiwepo Msumbiji na si commander in chief akiwepo Tanzania?hapo ndo utata wa huo ucommander in chief unapoibuka.Membe naye si alikuwepo hapo pembeni yake?EL ndo hakuwepo na Sitta.
 
Kiranga.
His comment regarding unpreparedness of our army is completely right.
What overwhelms my colleagues here is his comment to scape-goat the opposition while in foreign country!
Its frightening if his rage over opposition crosses the boarders!
PakaJimmy, as much as I know our president, it is very likely he mentioned something on opposition parties (cdm?) while responding to the press regarding the allegations that Tanzania was preparing for the battle to defend its terittory. This indeed exemplifies the vacuum of leaderahip in our country. How comes a president defends himself by pushing all the allegations to the opposition party while he/she is in a foreign country!!!! Trully, it is high time Tanzanians need a true leader; a leader who wherever he/she is, represents Tanzanians and not his/her party. Otherwise, our reputation as a nation is declining at an allarming pace.
 
Kweli kama watanzania kama huyu jamaa atatuuza kwenye gunia kwa wamalawi tutamregard kama mhaini,hapa kinachotakiwa ni kutowaintertain hawa wamalawi... afu mpaka sasa wameshamwona huyu jamaa kuwa ni soft so hapo ndo watakaza zaidi,sisi kama watanzania tunatakiwa kutogawa hata centimeter moja ya hilo ziwa.....
 
ni kwa vile tu magazeti yetu yamezoea propaganda za ndani ya nchi na ni dhaifu kulenga nje.
huyu mama banda alipokuwa huko ngoni alinukuliwa akisema yupo tayari kufa akilinda mipaka ya malawi
(hii ni pamoja na ziwa nyasa lote). hii ni kauli ya kivita na sio kidiplomasia. jk hajawahi kutamka kufa kwa ajili$
ya mpaka wala nini. lakini leo hii malawi ndio wanaonekana wapenda diplomasia na tanzania wapenda vita! dah!
 
Kwanini hakuclear hapa nyumbani mpaka aende kuchanganya na uongo?kwani ye rais wa Msumbiji?waliotoa hizo kauli ambao ni subordinates wake, walizitolea nyumbani,yeye kaenda huko kupotosha.Double standards za commander in chief.Kwasababu ameongopa,kauli yake haiwezi kuchukuliwa serious.Unless wamalawi wawe wame mmissquote.Yeye ni commander in chief akiwepo Msumbiji na si commander in chief akiwepo Tanzania?hapo ndo utata wa huo ucommander in chief unapoibuka.Membe naye si alikuwepo hapo pembeni yake?EL ndo hakuwepo na Sitta.

Sikusema chochote kuhusu wengine waliosema mengine, nimeongelea kauli ya rais.

Rais anaweza kuchagua kutoa kauli katika kikao cha kimataifa kuipa kauli mtazamo na gravita ya kimataifa zaidi.It's not like akiwa Msumbiji anaacha kuwa rais/ commander in chief wa Tanzania.
 
Kiranga.
His comment regarding unpreparedness of our army is completely right.
What overwhelms my colleagues here is his comment to scape-goat the opposition while in foreign country!
Its frightening if his rage over opposition crosses the boarders!

Kikwete did not comment anything about Tanzania's "unpreparadness", he just rejected the war option.

I suggest you look up the meaning of "unpreparadness".

Not preparing to go to war does not mean that one is unprepared to go to war.

One can be prepared to go to war, but not preparing to go to war.

Kikwete was saying Tanzania is not preparing to go to war, he did not say Tanzania is unprepared to go to war.

The two are quite different and as a commander in chief he would be the last person to admit that Tanzania is unprepared to go to war, even if that was the actual case.

Lugha za watu hizi jamani, unaweza kuharibu maana nzima ya dhana kwa kuchanganya "not preparing" na "unprepared".
 
Kikwete did not comment anything about Tanzania's "unpreparadness", he just rejected the war option.

I suggest you look up the meaning of "unpreparadness".

Not preparing to go to war does not mean that one is unprepared to go to war.

One can be prepared to go to war, but not preparing to go to war.

Kikwete was saying Tanzania is not preparing to go to war, he did not say Tanzania is unprepared to go to war.

The two are quite different and as a commander in chief he would be the last person to admit that Tanzania is unprepared to go to war, even if that was the actual case.

Lugha za watu hizi jamani, unaweza kuharibu maana nzima ya dhana kwa kuchanganya "not preparing" na "unprepared".

Mkuu,
Elimu unayotoa ni kubwa na ina thamani sana, lakini kuna watu wameshaamua kuwa watapinga kila kitu kinachosemwa au kufanywa na watu fulani. Hao ni vigumu kuwafanya wakubali. Lakini somo liko explicit na limeeleweka kwa wote.
 
Sikusema chochote kuhusu wengine waliosema mengine, nimeongelea kauli ya rais.

Rais anaweza kuchagua kutoa kauli katika kikao cha kimataifa kuipa kauli mtazamo na gravita ya kimataifa zaidi.It's not like akiwa Msumbiji anaacha kuwa rais/ commander in chief wa Tanzania.
Hapana,kina Membe na EL na Sitta waliposema hayo maneno angetakiwa kuweka sawa si hadi asubiri hadi Msumbiji kwenda kudanganya other dignitaries.
 
Kikwete did not comment anything about Tanzania's "unpreparadness", he just rejected the war option.

I suggest you look up the meaning of "unpreparadness".

Not preparing to go to war does not mean that one is unprepared to go to war.

One can be prepared to go to war, but not preparing to go to war.

Kikwete was saying Tanzania is not preparing to go to war, he did not say Tanzania is unprepared to go to war.

The two are quite different and as a commander in chief he would be the last person to admit that Tanzania is unprepared to go to war, even if that was the actual case.

Lugha za watu hizi jamani, unaweza kuharibu maana nzima ya dhana kwa kuchanganya "not preparing" na "unprepared".
Tofauti kati ya preparing na prepared ni just time,moja past tense na nyingine present.Na hivyo maana haiwezi kuharibika kama unavyosema.
 
Hapana,kina Membe na EL na Sitta waliposema hayo maneno angetakiwa kuweka sawa si hadi asubiri hadi Msumbiji kwenda kudanganya other dignitaries.

Kama nilivyosema mwanzo,

Sikuongelea chochote kuhusu hilo, na wala halikuwa focus ya post yangu, kama wewe ndo mchango wako ni vizuri.

Lakini kusema "Hapana" kunaashiria kama mimi nimesema kwamba JK hakutakiwa "kuweka sawa", kitu ambacho si sahihi kwa sababu sijaliongelea hili kabisa.

Mie nimeongelea rais kukataa option ya vita tu niki focus kwenye the big question. Si lazima kila post izungumzie kila aspect ya swala, ndo maana umekuja wewe umeongelea swala lingine ambalo mie sikuliongelea.

Sasa kuanza post na "Hapana" kama mie nime affirm the opposite of what you are asserting, while the actual fact is that I totally did not address that aspect, is at least deluded if not incoherently pugilistic.
 
Back
Top Bottom