chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
1. Ndugu, JMK hajalishwa maneno. Ndio UPEO wake wa kufikiri. Inasikitisha Rais anapokosa cha kusema na anabaki KUCHEKACHEKA. Leo Lowasa na Membe (ambaye alikuwa naye palepale) anasema ni Wapinzani HAIINGII AKILINI. Labda hapa waandishi wa Malawi hawakumwelewa!Mbona nahisi mtu kulishwa maneno. Sijaona direct quotes kuhusu "opposition parties warmongering".
2. Katika UJUMBE wa Lowassa na Membe sikuona mahali popote walipoTANGAZA vita! Hata hivyo, Rais Kikwete angetoa TAMKO kukanusha ama kuwakaripia na kama alihisi kuna upotoshwaji, siyo kusemasema ovyo kama mtu asiyejua kinachoendelea!
3. Kwa ufupi NIMESIKITISHWA na uwezo wa Rais katika nyanja hizi! Inabidi waandishi wa habari wa Tanzania wamwulize kuhusu alichosema Maputo! Sionagi UWEZO wake wa kujenga hoja kutumia data ama habari zililizopo!
4. Asaidiwe!