Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 1,535
- 3,605
nafikiri umepata kiherehere cha kutaka kuonana nae baada ya kusikia ameolewa
kunamtu anahudumia na atakuwa amependeza akili zako zinavyokutama
angekuwa anaganga na njaa mtaani sidhani kama ungetaka kuonana nae
usitake kumuharibia dada wa watu hilo pepo la tamaa likutoke
huyo ibilisi mkemee kw
a nguvu zote
kunamtu anahudumia na atakuwa amependeza akili zako zinavyokutama
angekuwa anaganga na njaa mtaani sidhani kama ungetaka kuonana nae
usitake kumuharibia dada wa watu hilo pepo la tamaa likutoke
huyo ibilisi mkemee kw
a nguvu zote