Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

nafikiri umepata kiherehere cha kutaka kuonana nae baada ya kusikia ameolewa
kunamtu anahudumia na atakuwa amependeza akili zako zinavyokutama
angekuwa anaganga na njaa mtaani sidhani kama ungetaka kuonana nae
usitake kumuharibia dada wa watu hilo pepo la tamaa likutoke
huyo ibilisi mkemee kw
a nguvu zote
 
Nimesoma comments humu comments zinazonishangaza eti kusema haina tatizo kukutana kisa mlipendana nyuma sijui nini.
Kaka acha huo UPUMBAVU wa kusema urudishe mawasiliano na Ex wako.
Madhara yatakayokuja kutokea ni makubwa kiasi cha kuvurugia maisha WATOTO ZAKO WOTE WA SASA NA WA KWANZA NA WATOTO WA MWENZIO PIA.
Athari itayokuja kutokea itakua sio himilivu hata kidogo.
Acha kuwa mbinafsi kutaka kuridhisha HISIA ZAKO ukasahau mustakabali wa familia yako na familia ya mwenzako.
Hata kama mlipendana na bado kuna kahisia kapo ila kabatwilishe kwa ajili ya MUSTAKABALI wa familia zote mbili.
Maana sidhani kama mumewe ana uelewa huo atapokuja sikia mnarudisha mawasiliano ilhali mlikua wapenzi.
Acha hii kitu bro unatengeneza bomu moja kubwa sana litaokuja kutesa familia mbili kwa wakati mmoja.
ACHA UBINAFSI NARUDIA ACHA UBINAFSI TIZAMA WENZAKO USIENDEKEZE NYEGE ZAKO SHABBASH😡😡😡😡😡😡😡
We subiri aje na uzi mwingine wa kwamba kamla kimasihara🤣
 
Na hapo ni ego tu ndio inayomsumbua! Ile taarifa kwamba bi dada kaolewa na ana familia Kuna namna inamfanya ajihisi amezidiwa kete! Anataka kuprove urijali wake! Ataharibu familia ya bi dada, ataharibu familia yake, ataharibu future ya huyo mtoto!
Karoho kanamuuma kuchapiwa mzaz mwenzake
 
Double standard.........

Kwa hiyo ukioa singo mom, umeoa mke wa mtu; na ukiolewa na singo father; si ina maana umeolewa na mume wa mtu pia au singo father ni mume wako peke yako?
Majority mnampiga mawe huyo dada wa watu kwamba hakustahili kuolewa; je huyu mwanaume alistahili kumuoa mkewe aliyemuoa? Dada wa watu ameolewa zake huko; miaka yote hakuhangaika kumtafuta mzazi mwenzie; leo baby daddy ndiyo amemtafuta; surprisingly matusi yanaelekea kwa dada wa watu.

Wangapi humu mnamuonea huruma mke wa huyu baba; maana mumewe ndiyo ana kiranga cha kumtafuta mzazi mwenzie. Huyu baba akija akapasha kiporo na mzazi mwenzie; ni sawa kwa mke wa huyu baba ; ila sio sawa kwa mume wa baby momma? Wazazi wenza wakipasha viporo; matusi ni kwa mwanamke kwamba hafai kuolewa; je baby daddy anapasha kiporo na baby momma wake; yeye anadeserve kuoa? He huyu baby daddy si hasara kwa mkewe?. Je wanawake wakitaka kuolewa na single fathers hawatakiwi kuhakikisha wanaona makaburi ya baby mommas wao kwanza?
Ndio imesha kua hivyo singo mom is a no go zone
 
Basi tukapongezana pale na kuagana.

Nimejisikia vizuri mno, nimeona hii ni platform yakushare ninavyojisikia

Natamani sana kumwona tena!

Muhusika anaweza kuona pia, natamani ajue

Sijui nafanyaje hapa wadau...
Vijana mliojaaliwa kuifahamu Jamiiforums na mkawa na access ya kuingia humu kusoma kila kinachoandikwa pamoja na mijadala mipana sometimes inayoendelea humu kuhusu onyo au suala la kuoa single mama,kwenye quote hiyo hapo juu................

Je!bado kuna anaweza kusimama hadharani akamtongoza singo mama kwa ahadi kwamba atamuoa na mahari akamlipia?hata wewe uliyejitia kiburi kwenda kubeba mke wa mtu kwa kigezo cha ”baba mtoto niliachana nae na sijui hata alipo” baada ya kusoma hapo kichwani mwako limekujia swali gani?

Mimi sijui wewe wajua.
 
prof hebu toa ushaur nikiungo gani cha mwili kita adhirika endapo tamaa ya mwili itaendesha ubongo😅
Tofauti na wengi wanavyodhani, kiuhalisia ubongo ukiathirika kinachofuata ni moyo, Ubongo utaudai moyo kupiga damu zaidi ambapo hapo utakuwa unautanua

Wengi hawa hukutwa na vifo vya ghafla kwa kuwa wanakuwa wanawawaza wapenzi wao hadi mioyo inatanuka sana,

Achaneni na Stamina, mnaharibu mioyo
 
Back
Top Bottom