otsward
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 300
- 245
Story iko hivi kuna mrembo nimempata fb, huyu mrembo alikuja inbox kunipa hi na nk ikabid story ziende mbali zaidi tulipofahamiana na kujua yupo karibu sana na napo ishi ,ikabidi nimuombe game yan inshot niligundua anataka hicho kitu. nikamuomba game akakubali sasa nikamwambia nataka tupime kwanza.
Anakataa katakataa et anaogopa, anadai tutumie kondom. Hali hii imenikosesha nguvu za kiume simwamn kabsa nahis naenda kulala na mgonjwa Nmm kumla mtu bila denda au nn sijisikii.
NB/ jaman najua wengi ni wapenda totoz ila kumbuken kupima na hao totozi wengi wana wadudu wabaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakataa katakataa et anaogopa, anadai tutumie kondom. Hali hii imenikosesha nguvu za kiume simwamn kabsa nahis naenda kulala na mgonjwa Nmm kumla mtu bila denda au nn sijisikii.
NB/ jaman najua wengi ni wapenda totoz ila kumbuken kupima na hao totozi wengi wana wadudu wabaya.
Sent using Jamii Forums mobile app