Hataki kuni expose kwenye social medias and network

Hataki kuni expose kwenye social medias and network

princessita

Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
21
Reaction score
6
Nina mwenza wangu hataki ajulikane kama tunamahusiano nae yani hataki hata kuweka picha yangu kwenye socila networks ikiwemo facebook twitter watsup bbm na kadhalika hata mi nikisema niweke ananijia juu akiziona nimemuweka na mm namuweka kwa mapenzi to be proud of him ila ye hataki anasema ntoe sio vizuri ila wanawake wengine anaweka na kuwasifia wengine wanamwita mume mpenzi mi naona na niko kimya tu mpaka sasa nimeamua na mimi nikae kimya wadau niambieni siri iliojificha hapa kama ananipenda kweli is aweke wazi kila kona kwani nini afichefiche najihisi kama sio priority kwake ni ptional
 
Pole sana,ila inaonekana jamaa yako ana mpenzi/wapenzi zaidi yako na anafanya suspection kuona yupi atakayefaa kuwa naye. Na utakapoanika tu uhusiano wenu tu kwenye hzo s/networks anaweza kukupiga chini. Ila kama unampenda endelea kuvuta subra na kama hujawahi kumpa 'mambo' ucfanye hvyo mapema,endelea kumzungusha wakati unaendelea ku-study mtazamo wake ili ujue nia yake hasa ni nn kwako, I wish u all the Best!!
 
kusoma hujui picha huoni?
...muulize kwnn wengine wanamuweka na wanamwita mpenz etc,na umwambie unaumia,hee!..mi jamani kuna mambo cyawezi huo moyo cna uwiiiii
 
Nina mwenza wangu hataki ajulikane kama tunamahusiano nae yani hataki hata kuweka picha yangu kwenye socila networks ikiwemo facebook twitter watsup bbm na kadhalika hata mi nikisema niweke ananijia juu akiziona nimemuweka na mm namuweka kwa mapenzi to be proud of him ila ye hataki anasema ntoe sio vizuri ila wanawake wengine anaweka na kuwasifia wengine wanamwita mume mpenzi mi naona na niko kimya tu mpaka sasa nimeamua na mimi nikae kimya wadau niambieni siri iliojificha hapa kama ananipenda kweli is aweke wazi kila kona kwani nini afichefiche najihisi kama sio priority kwake ni ptional

wakyagara wakinyora, Kighane, Heaven on earth........
 
Last edited by a moderator:
huyo ni mume au boyfurendi!!!!!!!

ingekuwa haweki za wengine tungesema mengine,ila hapo soma alama za nyakati tu.........
 
kusoma hujui picha huoni?
...muulize kwnn wengine wanamuweka na wanamwita mpenz etc,na umwambie unaumia,hee!..mi jamani kuna mambo cyawezi huo moyo cna uwiiiii

na kama vp ampotezee kwan umewekewa super glue kwake
 
Ana watu wake........kifupi hakutaki.Me hata watsapp profile yangu picha nayoiweka nayotaka mimi.Na yeye bwana mkubwa aweke tu anayotaka.Habari yakufuatana kama mkia sitaki......
 
We bi dada mbona unatuchangnya au unadhani sisi ni watu wa short memory...

Kuna hii thread hapo chini umeandika kuwa umewekwa pending na boyfriend wa mtu...halafu hapa tena unajifaragua kuwa haupewi kipaumbele...

Yaani kuwashauri ninyi watu msiojitambua kazi sana aisee...am out

https://www.jamiiforums.com/mahusia...hane-na-wazamani-ila-hajamucha-mpaka-leo.html

Heaven on earth, Ablessed tafadhani hebu mpeni ushauri nasha huyu binti loh!!
watu8 yaani kama ni huyo mkaka muche tu aendelee

kusubiria MV Magogoni stendi ya Ubungo...
 
Last edited by a moderator:
Nina mwenza wangu hataki ajulikane kama tunamahusiano nae yani hataki hata kuweka picha yangu kwenye socila networks ikiwemo facebook twitter watsup bbm na kadhalika hata mi nikisema niweke ananijia juu akiziona nimemuweka na mm namuweka kwa mapenzi to be proud of him ila ye hataki anasema ntoe sio vizuri ila wanawake wengine anaweka na kuwasifia wengine wanamwita mume mpenzi mi naona na niko kimya tu mpaka sasa nimeamua na mimi nikae kimya wadau niambieni siri iliojificha hapa kama ananipenda kweli is aweke wazi kila kona kwani nini afichefiche najihisi kama sio priority kwake ni ptional


you are too strong to be weak.go to hell
 
Hujiamini princessita?kwanini unashindwa kung'amua mitego midogo kama hiyo?ndo huyo aliyekwambia amuache demu wake wazamani ili akuchukue wewe au mwingine?

siku zote huwa naamini sisi wanaume ni vichwa ndo tunapaswa kuongoza,ila wanawake ni shingo.hivyo basi shingo ndo ina control kichwa japokuwa kichwa ndo kimetangulia.ukimuona mwanamke analega katika mambo madogo ya namna hii ujue hata familia kuiendesha itakuwa kazi.katika vitu ambavyo havihitaji elimu kabisa ni namna mwanamke anavyoweza kumkontrol mwanamme.it's natural!!!!!(sio ukapige limbwata manake siku likieksipaya utakiona).
miss strong tell her,to that man she is just a mere nobody,nothing#@$$%%^&*^%$#mengine nimeyasema kimoyomoyo
 
Ndio maana my vanilla lollipop sio rafiki yangu Facebook.........kwa sababu kama hizi......na nyinginezo......
 
hahaha dada jaman huyo mwanaume si mume wa m2 kwa nn akuweke kpaumbele wakat yupo mwenye mali
 
Nina mwenza wangu hataki ajulikane kama tunamahusiano nae yani hataki hata kuweka picha yangu kwenye socila networks ikiwemo facebook twitter watsup bbm na kadhalika hata mi nikisema niweke ananijia juu akiziona nimemuweka na mm namuweka kwa mapenzi to be proud of him ila ye hataki anasema ntoe sio vizuri ila wanawake wengine anaweka na kuwasifia wengine wanamwita mume mpenzi mi naona na niko kimya tu mpaka sasa nimeamua na mimi nikae kimya wadau niambieni siri iliojificha hapa kama ananipenda kweli is aweke wazi kila kona kwani nini afichefiche najihisi kama sio priority kwake ni ptional


Hapo huna chako. Stuka! Jikatae mapema kabla hujakataliwa laivu!
 
We bi dada mbona unatuchangnya au unadhani sisi ni watu wa short memory...

Kuna hii thread hapo chini umeandika kuwa umewekwa pending na boyfriend wa mtu...halafu hapa tena unajifaragua kuwa haupewi kipaumbele...

Yaani kuwashauri ninyi watu msiojitambua kazi sana aisee...am out

https://www.jamiiforums.com/mahusia...hane-na-wazamani-ila-hajamucha-mpaka-leo.html

Heaven on earth, Ablessed tafadhani hebu mpeni ushauri nasha huyu binti loh!!

mpwa watu8 tukutane sehem, am out as well
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom