Hata Uganda nako....

Mu-Israeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2012
Posts
2,454
Reaction score
975
Mawaziri wa Uganda wakisinzia kwenye kikao.



... Na mkuu wao wa kaya naye sio mvivu....

 
Ndo umuhimu wa kuvaa miwani myeusi unapoonekana!

Kile kituo cha Tv kilichomuonesha mkulu wao akisinzia nacho kilifungiwa bila shaka!

Hii aibu ya milele kabisa!
 
Wengi wa wabunge wetu wana umri mkubwa. Yabidi huko bungeni (a) session ziwe za saa 2 zikifuatiwa na pumnziko la nusu saa (b) kuwe na vyumba vya kupumnzika wakati wa break hizo za nusu saa.

Kama sio hivyo kuwe na sharti la kikomo cha umri wa juu kwa mbunge mathalan miaka 50.
 
...jamani jf itapigwa ban, lile gazeti sijui tv imepigwa ban ya maana msije kutuvurugia jf yetu...
 
Ndo umuhimu wa kuvaa miwani myeusi unapoonekana!

Kile kituo cha Tv kilichomuonesha mkulu wao akisinzia nacho kilifungiwa bila shaka!

Hii aibu ya milele kabisa!
Walimtetea kuwa alikuwa kwenye tafakuri zaidi..hahahaaaaaaaaaaaaaaaa Afrika kuna mambo aiseee
 
...jamani jf itapigwa ban, lile gazeti sijui tv imepigwa ban ya maana msije kutuvurugia jf yetu...

Kweli, TV station ilipigwa ban kwa sababu hiyo ....

 
hivi wanasinzia bungeni tu?maana kwa waheshimiwa kama hao kusinzia inataka moyo,si anaweza akatunguliwa risasi
 

Usingizi ni hatari sana .... Hata kwa vijana...

 
hivi wanasinzia bungeni tu?maana kwa waheshimiwa kama hao kusinzia inataka moyo,si anaweza akatunguliwa risasi

Kusinzia ni popote,

Ila waafrika tumezidi...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…