johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Mtangazaji wa Clouds tv Hassan Tanzanite Ngoma amemponda mwandishi C. Musiba kwamba anatumika kama spika tu lakini "wanaojua" kinachoendelea ni waya wa spika na mwenye radio.
Ngoma amemtahadharisha Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru kuacha kuwaita ofisini viongozi wastaafu kwa kutumia taarifa zisizo rasmi za mitaani.
Ngoma anahoji endapo ataibuka chizi mwingine huko kilabuni na kudai Mwenyekiti mstaafu anaendesha vikao vya siri je atamwita kumhoji?
Na kama atamwita je kwa fitna hizi atawaita watu wangapi ofisini kwake?!
Ngoma alikuwa anazungumzia sintofahamu ya Dr. Bashiru na Mstaafu Membe iliyotawala mitandaoni kwa sasa.
Source Clouds 360!
Ngoma amemtahadharisha Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru kuacha kuwaita ofisini viongozi wastaafu kwa kutumia taarifa zisizo rasmi za mitaani.
Ngoma anahoji endapo ataibuka chizi mwingine huko kilabuni na kudai Mwenyekiti mstaafu anaendesha vikao vya siri je atamwita kumhoji?
Na kama atamwita je kwa fitna hizi atawaita watu wangapi ofisini kwake?!
Ngoma alikuwa anazungumzia sintofahamu ya Dr. Bashiru na Mstaafu Membe iliyotawala mitandaoni kwa sasa.
Source Clouds 360!