Mgombea Urais kwa tiketi ya Chaumma, Hashim Rungwe Spunda yuko kwenye kipindi maalum ITV. Akinadi sera zake, wananchi kadhaa wamehojiwa na kuonesha kuwa wana imani naye, hasa maeneo ya Kigoma ambako ni kwao!
unajua huyu mzee kanipa shida kichwani sikuwaza kumjua sana kwani sio vile kama ninavyoona na kufikiri na kufahamu ila nilikuwa anjiuliza sana kwa nn anaamua kusimama yeye kama yeye? juzi nimejua kwa nini............kumbe wa kwetu.......wale wale........wao wanaweza zaidi
Tuna taka dunia ijue kwamba Tz ni ya wote na yeyote mwenye sifa anaweza kuchaguliwa kuwa rais na sio kama wanavyo dhani baadhi ya watu kuwa nchi hii ni yao na chama chao eti bila wao hakuna Tz
ITV mi penda sana nyie hata hambagui..naomba spencer lameck ufikishe hilo wazo kama inawezekana kurusha kipind cha bbc swahil mkirushe tu..tuondoke kbs star tv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.