Vipi tenakhaaa
Mzee anatoa ya moyoni mwake yaani ni dhahabu tupu
Mzee noma sanaPresident
Duh!! ama kweli maisha ni mwendo wa duaraAisee hiki kichwa cha ujiji mwisho Wa reli kikao njema kichwani, sema tu basi uzee umemnyemelea mapema. Ila kilikuwa na madini adimu sana. Hongera sana kutokea kuwa muuza magari na vyuma chakavu mpaka.mwanasheria nguli na mgombea ukulu Wa kaya.
Hatakua na jipya kwani ushiriki wake hauna AthariAliyekuwa mgombea wa uraisi wa JMT kupitia CHAUMA ndugu Hashim Rungwe yupo katika kipindi cha dakika 45 ITV kwa mara ya kwanza. Sijui atanadi tens zile sera zake? Tumsikilize mzee wetu wa vituko.
NIMECHEKA SANA HUYU MZEE, HUYU HASHIMU RUNGWE NADHANI KICHWANI MWAKE HAYUKO SAWA, MAANA ANASEMA KWAMBA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAAZI PALE MAGOMENI AMBAKO JPM ALIENDA KUWEKA JIWE LA MSINGI HAJAONA HATA TOFALI MOJA HATA MSINGI HAJAONA LICHA KUFIKA PALE AKAZUNGUKA ZUNGUKA HAJAONA.Aliyekuwa mgombea wa uraisi wa JMT kupitia CHAUMA ndugu Hashim Rungwe yupo katika kipindi cha dakika 45 ITV kwa mara ya kwanza. Sijui atanadi tens zile sera zake? Tumsikilize mzee wetu wa vituko.