Hashim "dogo" v/s salu T

Hashim "dogo" v/s salu T

mr. smith

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Hawa ni baadhi ya waasisi wa muziki wa hip hop tanzania na wanaokubalika na kuheshimika hasa katika uandishi wa mistari ya hip hop.ni nani anastahili kuwa mkali wa uandishi dhidi ya wenzake,heshima kwenu wakuu
 
hasheem Dogo Zaidi!! salu T until now anafanya mzki.. Ila hakuna Muanzilish Kat Ya Haoo
 
'role modal wangu ni hashim,nasmama kama hakim dogo mwendawazimu saluti zinamlazimu haonekani ka mzimu rhymez za dogo wazimu nakuomba mwache kabisa,sio nyoka wa kibisa game anatikisa kama padri ndani ya misa HASHEEM DOGO....................nimebonyeza 'like'
 
Tanzania hii hakuna wa kumfananisha na dogo hashimu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hakuna kama Hashimu Dogo alitufunza kusimamia Ukweli,SaluT ni Mcee mzuri lakini hakuna kama Hashim Dogo mwendawazimu.
 
hashim-shadow of dark destiny!
Hivi vitu viko wazi,kama vazi la kahaba
nasambaza maradhi,alafu nakupa saba
machozi ni haba,uokozi ni njozi baba
ulimwengu wa saba,jehanamu ya aina yake
kipe kitu kikupe,kikutupe kupe kwake
kikunyonye damu kwa hamu
kama hujafaham,dogo mwanaharam
kalamu inamwaga dam
nakuacha mweupe ka'mkologo
chata ka' wagogo
wabongo acheni nyodo,wote mnakula hongo
hivi hii ni serikali,au sera kali kwa mbali,au sera za mali
ni ipi tafakari
 
Hawa ni baadhi ya waasisi wa muziki wa hip hop tanzania na wanaokubalika na kuheshimika hasa katika uandishi wa mistari ya hip hop.ni nani anastahili kuwa mkali wa uandishi dhidi ya wenzake,heshima kwenu wakuu


km hutojali mkuu..

naomba nyimbo tano za dogo za dogo hashim

naomba nyimbo tano za salu t tafadhali.
 
Hawa ni baadhi ya waasisi wa muziki wa hip hop tanzania na wanaokubalika na kuheshimika hasa katika uandishi wa mistari ya hip hop.ni nani anastahili kuwa mkali wa uandishi dhidi ya wenzake,heshima kwenu wakuu

Hasheem dogo namba nyingine aisee... Wafuatiliaji halisi wa muziki wa bongo wanaelewa hili...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom