Titans
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 1,459
- 3,366
nimekua najiuliza mengi kuhusu huu mtandao wetu wa kijamii..maana huu mtandao una maadui wengi kuanzia serikali hata pia baadhi ya watu binafsi wenye pesa zao chafu katika nchi hii..swali ni kua je katika uhai wa JF imeshawahi kua cyber attacked??kwa wale wasiojua cyber attack ni mfumo wa kimawasiliano pepe ambao hutuma malicious/influx requests/traffic to a server and make it busy at the same time watu wanakua wana hack.so far nachojua ni kua cyber attack can happen by very powerfull computers ambazo labda zinazomilikiwa na governments kubwa duniani like N.Korea,S.korea,USA and the like.mnielimishe wana bodi wanaojua hii technolojia.