Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Dec 13, 2016 #21 Hun said: Nimeolewa ndio Click to expand... Sina swali lingine mheshimiwa!
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,776 Dec 13, 2016 #22 Hun said: Ndio, aliyepanic ni mke, kisa mume anachat kwa ukaribu kuhusu kuonana na maid Click to expand... Ndiyo maana Waislam harusi zetu tunatakiwa tuzifanye wanawake peke yao wanaume peke yao. Mchanganyiko huleta mfadhaiko. Asilalame ni kujitakia wenyewe.
Hun said: Ndio, aliyepanic ni mke, kisa mume anachat kwa ukaribu kuhusu kuonana na maid Click to expand... Ndiyo maana Waislam harusi zetu tunatakiwa tuzifanye wanawake peke yao wanaume peke yao. Mchanganyiko huleta mfadhaiko. Asilalame ni kujitakia wenyewe.
Kakole JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2,094 Reaction score 1,751 Dec 13, 2016 #23 jerrytz said: "....Wengi wanaosimamia harusi pamoja ambao si mke na mume huishia kwenye mahusiano yasiyo rasmi...." Mc Pilipili Click to expand... Huwo ulimbukeni tu mimi nilisimamia harusi na mke wa mtu lkn hakuna lolote kati yetu
jerrytz said: "....Wengi wanaosimamia harusi pamoja ambao si mke na mume huishia kwenye mahusiano yasiyo rasmi...." Mc Pilipili Click to expand... Huwo ulimbukeni tu mimi nilisimamia harusi na mke wa mtu lkn hakuna lolote kati yetu
jitupori Senior Member Joined Feb 22, 2015 Posts 199 Reaction score 77 Dec 13, 2016 #24 Na wew mleta mada inaonekana kilaza sasa hizi ndy habar za kuleta humu haaaa
H Hun Senior Member Joined Oct 11, 2012 Posts 110 Reaction score 106 Dec 13, 2016 Thread starter #25 jitupori said: Na wew mleta mada inaonekana kilaza sasa hizi ndy habar za kuleta humu haaaa Click to expand... Kilaza wewe uliocomment mada ya iliyoletwa na kilaza
jitupori said: Na wew mleta mada inaonekana kilaza sasa hizi ndy habar za kuleta humu haaaa Click to expand... Kilaza wewe uliocomment mada ya iliyoletwa na kilaza