Harufu ya kutisha Ukonga Banana

Harufu ya kutisha Ukonga Banana

GBBali

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
1,931
Reaction score
537
Hapa Ukonga Banana kuna harufu mbaya sana kama mzoga. Naomba wakazi wa eneo hilo wamuone afisa afya achukue hatua za haraka kuokoa maisha ya watu.
 
Umetisha ka hiyo harufu. Ukonga yoote wasiisikie hadi uwaamshe wewe?? Basi, una pua zenye uwezo kuliko bundi
 
Hapa Ukonga Banana kuna harufu mbaya sana kama mzoga. Naomba wakazi wa eneo hilo wamuone afisa afya achukue hatua za haraka kuokoa maisha ya watu.
we umefika dsm leo!?, naiman hukutazama magari ya taka yanayopita barabarani yakiwa na kila aina ya uchafu kuanzia utumbo wa dagaa mpaka jasho la kuku wanaochinjwa kisutu, usitumie pua pekee kama crisetomis gambianus, tumia na macho pia
 
Hayo Maeneo Ndiyo Kuna Machinjio Ya Vitoweo Vya Kulisha Dar Yote Sasa Usipate Hisia Mbaya
Leo Nilipita Huko Harufu Ipo Ila Ndiyo Maisha Hayo
 
Hiyo nigari yataka inayotokea feri inapita kuelekea pugu kila siku mida yake ni saa2 usiku Mimi naishi banana pia
 
Huku ndo Dar es salaam kijana,usiombe muwekwe foleni afu mbele yenu gari la taka haaa haaa! Wenyewe tushazoea,waangalie wengine wanalala usingizi kwny magari hayohayo!
 
Back
Top Bottom