Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Watu hamjui magari mmezoea vitz, hiyo gari ushuru pekee ni 38m+, cif c chini ya Dola 28 elf, sasa kama hamjui ni heri muulize. Au nunueni za saizi yenu
Vp kuhusu nguvu? kwann Magari bora hawafanyi hv?Kwa Harrier, iyo bei ni ndogo sana...! Kama hujui sasa ivi makampuni ya kutengeneza magari yanajitahidi kupunguza ukubwa wa engine.
Siku hizi wateja wanaangalia ukubwa wa engine, ili kusave fuel...!
Mkuu ni wewe au mwingine, nakuona kama unayajuajua magari nashangaa ukishangaa harrier ya 2014 kwa 90M!! The price is spot on! Usilinganishe na Vogue, ziko class tofauti....hii ni daraja la eVogue, gari ambayo unaweza kuendesha kila siku around mjini kwa mafuta ya kawaida, Hizo zingine za safari.Munawar amebadilisha ID
We muhindi sijui mmanga unashida saana
Bei hiyo Vogue lipo wapi
Watu wamezoea passo anashangaa harrier ya ml94, hahaaaa......Watu hamjui magari mmezoea vitz, hiyo gari ushuru pekee ni 38m+, cif c chini ya Dola 28 elf, sasa kama hamjui ni heri muulize. Au nunueni za saizi yenu
Msamee mkuu alidhani ni mileage.Bei si umeshatajiwa hapo, sasa unauliza nini??