Harmonize tumekushtukia

G_real

JF-Expert Member
Aug 23, 2019
684
851
Huyu kijana naona anazidi kushuka mdogo mdogo yani yeye na management yake yoote Ni watu wa ovyo saaana.juzi kaiba clip ya dancer wa Nigeria ambayo walikua wanacheza nyimbo ya zlatan.yeye akaichukua na kuingizia nyimbo yake mpya ya kushoto kulia ili ionekani imepasua anga zaidi akajua watanzania Ni mafara.wakaamua kumtagg yule bidada aliyecheza hile clip na alifika na kucomment kuwa Nani haliye mruhusu kuingizia nyimbo yake bira ruhusa.

Screenshot_20191123-091919~2.jpeg
Screenshot_20191123-091908~2.jpeg
 
Kama jinsi ambavyo Mali na Idea za Kanumba zilishindwa kuendelezwa kwakua yeye hayupo, Ndivyo jinsi ambavyo Harmonize hawezi kukiendeleza kile alichotoka nacho WCB kwa mjenzi huru Diamond, atashuka hadi moja ili aanze kwa jitihada zake.Kuna wasanii wengi tu wenye vipaji Na mashairi zaidi yake kama Barnaba, Ben po, na wengne wengi lakini mbona hawakuhit kama yeye ndani ya miaka miwili.?? Mziki wa tz ni zaidi ya kuwa na kipaji yaani:-

Mziki= kipaji
Ila sio kila kipaji=Mziki
 
Kama jinsi ambavyo Mali na Idea za Kanumba zilishindwa kuendelezwa kwakua yeye hayupo, Ndivyo jinsi ambavyo Harmonize hawezi kukiendeleza kile alichotoka nacho WCB kwa mjenzi huru Diamond, atashuka hadi moja ili aanze kwa jitihada zake.Kuna wasanii wengi tu wenye vipaji Na mashairi zaidi yake kama Barnaba, Ben po, na wengne wengi lakini mbona hawakuhit kama yeye ndani ya miaka miwili.?? Mziki wa tz ni zaidi ya kuwa na kipaji yaani:-

Mziki= kipaji
Ila sio kila kipaji=Mziki
Kweli mkuu
 
Kama jinsi ambavyo Mali na Idea za Kanumba zilishindwa kuendelezwa kwakua yeye hayupo, Ndivyo jinsi ambavyo Harmonize hawezi kukiendeleza kile alichotoka nacho WCB kwa mjenzi huru Diamond, atashuka hadi moja ili aanze kwa jitihada zake.Kuna wasanii wengi tu wenye vipaji Na mashairi zaidi yake kama Barnaba, Ben po, na wengne wengi lakini mbona hawakuhit kama yeye ndani ya miaka miwili.?? Mziki wa tz ni zaidi ya kuwa na kipaji yaani:-

Mziki= kipaji
Ila sio kila kipaji=Mziki
Umeandika vyema mziki sio kipaji tuu, kuna mambo mengi yanatakiwa kufanyika
 
Tulisema mapema huyo jamaa hawez watu oooh amekua , sjui niaje niaje , amekua ndo kuiba iba idea za watu tena watu ambao wapo exposed ? Mpak unafungiwa YouTube hujajua Tu kuwa wew na management yako haupo matured ?? Harmonize is dead and gone
 
Tulisema mapema huyo jamaa hawez watu oooh amekua , sjui niaje niaje , amekua ndo kuiba iba idea za watu tena watu ambao wapo exposed ? Mpak unafungiwa YouTube hujajua Tu kuwa wew na management yako haupo matured ?? Harmonize is dead and gone
Afu watu wengiiiii wanaomfwata nyuma hawana msaada wowote
 
Umeandika vyema mziki sio kipaji tuu, kuna mambo mengi yanatakiwa kufanyika

Diamond na WCB yake hawezi kuanzisha kitu bila kuwa na exit plan, nina amini kbs wakati anaanzisha project yake ya kuinua vijana alijua kbs wapo wanaoweza kuota mapembe hivyo alijipanga vizuri kuukomesha kabisa usaliti huo. Na ndio maana aliwekeza nguvu kubwa kwa harmonize bila wasiwasi, akijua ya kwamba hata akikuwa na kujiona anaweza kisha akakimbia, hatatoboa.Kiufupi kila alichonacho harmo ni product ya Mond, na ili asimame peke yake itamradhimu kurudisha kila kilicho cha Mond ikiwa ni pamoja na Nyota na mashabiki, ili aanze moja. Tutashuhudia mengi sana mpaka kupotea kwake.
 
Nashauri Harmonize arudi WCB kabla haijawa too late. Aliondoka kwa mazuri, arudi kwa mazuri.

Siku zote wasanii wanaojitoa kwenye kikundi flani uwa wana hit kwa muda then wanapotea.

Sahivi Harmonize ndio yupo kwenye peak na anaanza kushuka mdogo mdogo kwa hizi skendo za kipuuzi (ziwe za ukweli au sio za ukweli) ila atashuka kiasi Watanzania watakua hawataki ata kumsikia.

Management nashauri kama hawataki rudi WCB, basi wajitahidi kufocus kwenye ngoma dogo atoe nyimbo nyingi tena ajitahidi kufanya collabo za international (Africa na nje).
 
Nashauri Harmonize arudi WCB kabla haijawa too late. Aliondoka kwa mazuri, arudi kwa mazuri.

Siku zote wasanii wanaojitoa kwenye kikundi flani uwa wana hit kwa muda then wanapotea.

Sahivi Harmonize ndio yupo kwenye peak na anaanza kushuka mdogo mdogo kwa hizi skendo za kipuuzi (ziwe za ukweli au sio za ukweli) ila atashuka kiasi Watanzania watakua hawataki ata kumsikia.

Management nashauri kama hawataki rudi WCB, basi wajitahidi kufocus kwenye ngoma dogo atoe nyimbo nyingi tena ajitahidi kufanya collabo za international (Africa na nje).
Yah nikweli mkuu
 
Kama amefikia hatua hiyo anajishusha heshima yake bure kwanini uedit watu wanacheza wimbo wako wakati sio kweli kwel msanii ni msanii tu.Best solution for him nikufanya ngoma Kali kuliko kufanya huo upuuzi.
Yah kweli mambo mengine aache tu a focus kwenye muziki
 
Huyu kijana naona anazidi kushuka mdogo mdogo yani yeye na management yake yoote Ni watu wa ovyo saaana.juzi kaiba clip ya dancer wa Nigeria ambayo walikua wanacheza nyimbo ya zlatan.yeye akaichukua na kuingizia nyimbo yake mpya ya kushoto kulia ili ionekani imepasua anga zaidi akajua watanzania Ni mafara.wakaamua kumtagg yule bidada aliyecheza hile clip na alifika na kucomment kuwa Nani haliye mruhusu kuingizia nyimbo yake bira ruhusa.

View attachment 1269807View attachment 1269808
Hilo Jambo sio sahihi kulifanya inamshushia heshima na watu watamdharau.
 
Back
Top Bottom