fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,648
Eeeh! Jeshi (Umemuiga Diamond kwenye Kanyaga pale anaposema 'Zombiie') Daah! Nyimbo ulianza nayo vizuri ila umezingua nyimbo, unacheka cheka tu, hatukuelewi wala nini.
Acha miyeyusho ujue siku hizi umefanya hata Wamakonde tusiaminike mitaani. Aah!
#yesbishoohaswaaaa
Acha miyeyusho ujue siku hizi umefanya hata Wamakonde tusiaminike mitaani. Aah!
#yesbishoohaswaaaa